Pendekezo: Tupate Database maalum ya vifo vya #MO29

Pendekezo: Tupate Database maalum ya vifo vya #MO29

Agent-47

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2014
Posts
783
Reaction score
2,780
Naam!
Vifo vilivyotokana na shambulizi la 9/11 pale World Trade Center, NY vilikuwa 2000+. Lakini mpaka Leo wamarekani kwa sauti moja wanasema “we will never forget

Japo hatuna idadi rasmi ya vifo vya #mo29, wengine wanasema ni zaidi ya 1000+.

Zipo picha zimezagaa tu bila kuwa na sehemu moja kama repository. Hatuwezi kuwa na website na kufanya proper curation? Picha za miili ya waliokufa. Na kwa wale ambao miili haipo tupate confirmation toka kwa ndugu, jamaa au marafiki.

Hii itasaidia pia kupata idadi rasmi ya vifo.

Ukiachana na vifo vya ajali, hili ni tukio kubwa sana kupata kutokea katika nchi yetu. Kawaida yetu, tumekuwa watu wa kusahau haraka na maisha kuendelea as usual. Tunahitaji Kuwa na records. Kwa bahati mbaya sana, serikali haitafanya.

Hii ni nje ya jf: siyo humu.

Ambaye yuko tiyari kushirikiana: let’s team up.
 
Naam!
Vifo vilivyotokana na shambulizi la 9/11 pale World Trade Center, NY vilikuwa 2000+. Lakini mpaka Leo wamarekani kwa sauti moja wanasema “we will never forget

Japo hatuna idadi rasmi ya vifo vya #mo29, wengine wanasema ni zaidi ya 1000+.

Zipo picha zimezagaa tu bila kuwa na sehemu moja kama repository. Hatuwezi kuwa na website na kufanya proper curation? Picha za miili ya waliokufa. Na kwa wale ambao miili haipo tupate confirmation toka kwa ndugu, jamaa au marafiki.

Hii itasaidia pia kupata idadi rasmi ya vifo.

Ukiachana na vifo vya ajali, hili ni tukio kubwa sana kupata kutokea katika nchi yetu. Kawaida yetu, tumekuwa watu wa kusahau haraka na maisha kuendelea as usual. Tunahitaji Kuwa na records. Kwa bahati mbaya sana, serikali haitafanya.

Ambaye yuko tiyari kushirikiana: let’s team up.
Wasiliana na Nyani Ngabu.
 
Watafuta hawa hapa tutafute platform ingine inayoheshimu uhuru wa maoni!
 
Watafuta hawa hapa tutafute platform ingine inayoheshimu uhuru wa maoni!
Sikumaanisha kuwa hiwe humu. Hapana. Nilimaanisha nje ya jf. Humu itakuwa moderated hata kama hawatafuta.
 
Ni hatari mno, tafuteni platform nyingine ya kuhesabia watu. Kila mtu amtafute ndugu yake akiona hapatikani siku 3 hadi 7, atoe taarifa. Idadi mitandaoni ni kubwa huko TikTok kila mtu na hesabu yake 500,700,800,1000,2000,3000,6000,9000, kila mtu na hesabu yake
 
Comrade Maxence Melo na timu yake wameahidi kulifanyia kazi hil wazo. Tusubiri liwekwe jukwaa maalum ili ukweli ujulikane. Haiwezekani watu wauawe kinyama, halafu ukweli ufichwe kwa makusudi.
 
Back
Top Bottom