Pendekezo traffic

Pendekezo traffic

wazanaki

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2020
Posts
1,085
Reaction score
809
Wakuu. Hii kitu ya junction hapo morrocco why tusitumie taa ku monitor magari badala ya kutumia traffic. Kwa maana ya kwamba zitengwe dakika nyingi kwenye barabara yenye priority na dakika chache kwenye barabara isiyo na priority( a.k.a wasiokua na haraka na kwenda makazini kwao).
Nimesema hivo kwa sababu jana nimekaa junction kama 45 mins. Huku zikiruhusiwa gari za upande mmoja.

Ni ushauri tu wakuu, ushauri wangu sio sheria.
 
Wakuu. Hii kitu ya junction hapo morrocco why tusitumie taa ku monitor magari badala ya kutumia traffic. Kwa maana ya kwamba zitengwe dakika nyingi kwenye barabara yenye priority na dakika chache kwenye barabara isiyo na priority( a.k.a wasiokua na haraka na kwenda makazini kwao).
Nimesema hivo kwa sababu jana nimekaa junction kama 45 mins. Huku zikiruhusiwa gari za upande mmoja.

Ni ushauri tu wakuu, ushauri wangu sio sheria.
Dakika 45 unalalamika bro. 😂😂
 
Wakuu. Hii kitu ya junction hapo morrocco why tusitumie taa ku monitor magari badala ya kutumia traffic. Kwa maana ya kwamba zitengwe dakika nyingi kwenye barabara yenye priority na dakika chache kwenye barabara isiyo na priority( a.k.a wasiokua na haraka na kwenda makazini kwao).
Nimesema hivo kwa sababu jana nimekaa junction kama 45 mins. Huku zikiruhusiwa gari za upande mmoja.

Ni ushauri tu wakuu, ushauri wangu sio sheria.
Huoni kuna ujenzi unaendelea pale ukitokea mwenge kuelekea posta kabla hujavuka mataa? Huoni upande wa posta mwenge kuna idadi kubwa ya magari kuliko kawe kariakoo?

Hebu vuta subra...

Kumbuka Pole Pole alisema watachapa flyover pale so ukae kwa kutulia ....
 
Huoni kuna ujenzi unaendelea pale ukitokea mwenge kuelekea posta kabla hujavuka mataa? Huoni upande wa posta mwenge kuna idadi kubwa ya magari kuliko kawe kariakoo?

Hebu vuta subra...

Kumbuka Pole Pole alisema watachapa flyover pale so ukae kwa kutulia ....
Hata kama ujenzi unaendelea. Traffic light bado ni bora kuliko human. Pale kutakua na minutes zinahesabiwa na electronics effectively. Inakua rahisi mtu kujua ukitoka kazini ni dakika ngapi utatumua junction
 
Traffic light zinatambua kama ujenzi unaendelea?
No binadamu ndo anatambua. Na kwa sababu anatambua ataset mda wa gari kupita kila upande.

Ni kama kuuliza kwani saa inajua muda halisi ni mda gani. No saa itakua perfect kulingana na setting zako
 
Wakuu. Hii kitu ya junction hapo morrocco why tusitumie taa ku monitor magari badala ya kutumia traffic. Kwa maana ya kwamba zitengwe dakika nyingi kwenye barabara yenye priority na dakika chache kwenye barabara isiyo na priority( a.k.a wasiokua na haraka na kwenda makazini kwao).
Nimesema hivo kwa sababu jana nimekaa junction kama 45 mins. Huku zikiruhusiwa gari za upande mmoja.

Ni ushauri tu wakuu, ushauri wangu sio sheria.
Unataka wao wafanye kazi gan? Tumia akili kidogo tu
 
Kuna siku walifanya kama kususa wakaacha taa full day, tukalalamika!
 
Wakuu. Hii kitu ya junction hapo morrocco why tusitumie taa ku monitor magari badala ya kutumia traffic. Kwa maana ya kwamba zitengwe dakika nyingi kwenye barabara yenye priority na dakika chache kwenye barabara isiyo na priority( a.k.a wasiokua na haraka na kwenda makazini kwao).
Nimesema hivo kwa sababu jana nimekaa junction kama 45 mins. Huku zikiruhusiwa gari za upande mmoja.

Ni ushauri tu wakuu, ushauri wangu sio sheria.
Niliwahi Kumsikia Mmoja wao akisema kuwa Waendao Posta ndiyo Walipa Kodi wazuri wa Serikali na waendao Kariakoo, Mbagala, Buza na Gongo la Mboto ni Wazururaji tupu na Wasumbufu Mitaani.
 
Wakuu. Hii kitu ya junction hapo morrocco why tusitumie taa ku monitor magari badala ya kutumia traffic. Kwa maana ya kwamba zitengwe dakika nyingi kwenye barabara yenye priority na dakika chache kwenye barabara isiyo na priority( a.k.a wasiokua na haraka na kwenda makazini kwao).
Nimesema hivo kwa sababu jana nimekaa junction kama 45 mins. Huku zikiruhusiwa gari za upande mmoja.

Ni ushauri tu wakuu, ushauri wangu sio sheria.
Mimi kwa maoni yangu naona sio sawa.

Kuna njia unakuta muda wa jioni ndo inajaa saaana kuliko njia nyingine kutokana na watu kuwa wengi wanarudi makazini eneo hilo.

Ni heri wakae traffic ili wapendelee upande huu ambao kuna magari mengi.

Ni jambo gumu kwangu kuona upande wa magari 40 unaruhusiwa kwa dakika sawa na ule upande wa magari matano.

Lazima upande wa hari nyingi utumie muda mrefu kuliko upande wa magari machache.

Hii itafanya kuwe na uwiano na uadilifu badala ya kutafuta usawa katika hili.

Kujali ruhusa kwa mujibu wa dakika badala ya kujali ruhusa kwa mujibu wa foleni itakuja kuleta lawama hapo baadae.

Kwa sababu pengine zipo barabara hujaa sana jioni alafu utakuta kila baada ya dakika mbili zinatoka gari kadhaa inakuwa usumbufu feni haiendi badala yake foleni inakuwa kubwa mno.

Bora wakae watu waangie foleni kubwa ndo watumie muda mkubwa kuipunguza
 
Wakuu. Hii kitu ya junction hapo morrocco why tusitumie taa ku monitor magari badala ya kutumia traffic. Kwa maana ya kwamba zitengwe dakika nyingi kwenye barabara yenye priority na dakika chache kwenye barabara isiyo na priority( a.k.a wasiokua na haraka na kwenda makazini kwao).
Nimesema hivo kwa sababu jana nimekaa junction kama 45 mins. Huku zikiruhusiwa gari za upande mmoja.

Ni ushauri tu wakuu, ushauri wangu sio sheria.
trafiki kuna muda wanasaidia kuna muda wanazingua au nasema uongo ndugu zanguuuu in jiwes voice
 
Mimi kwa maoni yangu naona sio sawa.

Kuna njia unakuta muda wa jioni ndo inajaa saaana kuliko njia nyingine kutokana na watu kuwa wengi wanarudi makazini eneo hilo.

Ni heri wakae traffic ili wapendelee upande huu ambao kuna magari mengi.

Ni jambo gumu kwangu kuona upande wa magari 40 unaruhusiwa kwa dakika sawa na ule upande wa magari matano.

Lazima upande wa hari nyingi utumie muda mrefu kuliko upande wa magari machache.

Hii itafanya kuwe na uwiano na uadilifu badala ya kutafuta usawa katika hili.

Kujali ruhusa kwa mujibu wa dakika badala ya kujali ruhusa kwa mujibu wa foleni itakuja kuleta lawama hapo baadae.

Kwa sababu pengine zipo barabara hujaa sana jioni alafu utakuta kila baada ya dakika mbili zinatoka gari kadhaa inakuwa usumbufu feni haiendi badala yake foleni inakuwa kubwa mno.

Bora wakae watu waangie foleni kubwa ndo watumie muda mkubwa kuipunguza
Lakini kama hilo lipo. Si kuna standards. Namaanisha kama traffic wameona kuna upande mmoja unatakiwa upewe kipaumbele. Kwann wasi set time kwenye traffic light? Si swala la kuset mda tu. Kama njia fulani tuipe dakika fulani katika mda fulani. Iwe tu kama sequence flani the n traffic wanatoka pale ku avoid human errors
 
Lakini kama hilo lipo. Si kuna standards. Namaanisha kama traffic wameona kuna upande mmoja unatakiwa upewe kipaumbele. Kwann wasi set time kwenye traffic light? Si swala la kuset mda tu. Kama njia fulani tuipe dakika fulani katika mda fulani. Iwe tu kama sequence flani the n traffic wanatoka pale ku avoid human errors
Mkuu hilo ni gumu kwa sababu sio muda wote hiyo njia itajaa peke yake.kuna wakati upande mwingine wa njia unajaa wakati ambapo ulishapendelea upande mwingine dakika nyingi.

Kama hakuna traffic sawa ila bora zaidi traffic wawepo ili kupitisha magari kwa mujibu wa hali ya eneo ilivyo.

Ama tukiwaondoa traffic tukubaliane tu hakuna lawama,njia moja magari mia,njia ingine magari matatu,njia ingine magari kumi njia ingine magari ishirini haya yote yamesetiwa kwa dakika tatu,njia ya magari mia itapata tabu
 
Mkuu hilo ni gumu kwa sababu sio muda wote hiyo njia itajaa peke yake.kuna wakati upande mwingine wa njia unajaa wakati ambapo ulishapendelea upande mwingine dakika nyingi.

Kama hakuna traffic sawa ila bora zaidi traffic wawepo ili kupitisha magari kwa mujibu wa hali ya eneo ilivyo.

Ama tukiwaondoa traffic tukubaliane tu hakuna lawama,njia moja magari mia,njia ingine magari matatu,njia ingine magari kumi njia ingine magari ishirini haya yote yamesetiwa kwa dakika tatu,njia ya magari mia itapata tabu
Lakini mbona huwa magari mara nyingi hayaruhusiwi kutokana na foleni. Yanaruhusiwa kutokana na priority, sijui unanielewa. Mfano. Junction ya morrocco barabara ya tegeta posta inapewa priority na mda mwingi hata kama haina foleni kuliko ile ya morrocco kawe. Hata kama ya morrocco kawe ina foleni, huwa haipewi sana kipaumbele. Hii inathibitika kabisa sio kubahatisha. Thats why tunahitaji kuset mda sio kukadiria
 
Niliwahi Kumsikia Mmoja wao akisema kuwa Waendao Posta ndiyo Walipa Kodi wazuri wa Serikali na waendao Kariakoo, Mbagala, Buza na Gongo la Mboto ni Wazururaji tupu na Wasumbufu Mitaani.
Huyo aliyekuwa akibwabwaja hivyo, anaelewa maana ya kila raia kuwa kavaa 'cheo' cha mlipa kodi?
 
Back
Top Bottom