Sasa inakusumbua nini? Pili pili usiyoilaNakuunga mkono, hakuna channel ninayoichukia kama hii TV ya serikali, yani kungekuwa na kifaa kinachosema kwa muda fulani ni watu wangapi wanaiangalia TBC real Mkurugenzi wake angefukuzwa kazi immediately. ata nyumbani hawaitaki
Ubadhirifu kivipi kwa sab wewe huangalii?Na vifungwe tu maana hakuna namna. Tumechoka na ubadhirifu wa fedha za walipa kodi.
Wewe huangalii vyombo vya TBC, umejuaje kama vimechokwa? Ninachojua wana UKAWA ndio wanaongoza kwa kuangalia na kusikiliza vyombo vya TBC. Ukijumlisha na sisi Watanzania wengine utapata jibu.Ndg zangu ni ukweli usiopingika kwamba vyombo tajwa hapo juu vinatumia garama kubwa sana za walipa kodi licha ya kudorora katika utoaji wa huduma zake na kuchokwa na watanzania.
Nawasilisha
Aisee nina miaka kibao sijachungulia kwenye list ya channels kama bado ina-exist!ha ha ha acha utani wewe
CCM imempatia Lipumba pesa yao yote ya Akiba,CCM wanajipanga kudhoofisha ukawa nkPole sana mkuu, taarifa ya habari ya kwanza hadi mwisho CCM IMESEMA, CCM INAAZIMISHA, CCM IMETEUA, CCM INASHINDA, CCM INALETA MAENDELEO, CCM SIJUI IMEFANYAJE, DUUUUUUUUHH
Hivi kumbe bado kuna TBC, mimi nilishasahauNdg zangu ni ukweli usiopingika kwamba vyombo tajwa hapo juu vinatumia garama kubwa sana za walipa kodi licha ya kudorora katika utoaji wa huduma zake na kuchokwa na watanzania.
Nawasilisha
Hata bab jesca haitumii kabisa hiyo bidhaaHuduma zitolewazo na vituo hivi hazina WALAJI
Hawali mkuu hata wao hawaipendi mi nimechunguza labda vijijini ambako radio zingine hazifikiwalaji wapo a.k.a fisiemu hahahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaa.
Mkuu sio hivi vyombo tu vinavyotumia vibaya fedha za umma ila hata magazeti ya Habari leo, Daily News, Mzalendo, na Uhuru yanatumia fedha nyingi za umma huku yakiwa hayana manufaa yoyote kwa umma wa watanzania takribani milioni 45.Ndg zangu ni ukweli usiopingika kwamba vyombo tajwa hapo juu vinatumia garama kubwa sana za walipa kodi licha ya kudorora katika utoaji wa huduma zake na kuchokwa na watanzania.
Nawasilisha
Kwani bado wako hewani?
Mkuu sio hivi vyombo tu vinavyotumia vibaya fedha za umma ila hata magazeti ya Habari leo, Daily News, Mzalendo, na Uhuru yanatumia fedha nyingi za umma huku yakiwa hayana manufaa yoyote kwa umma wa watanzania takribani milioni 45.
mkuu hayo yanatumia fedha zetu pia. ni vigumu kutenganisha matumizi ya CCM kutoka matumizi ya umma. kumbuka Rais Magufuli alipoitisha kikao cha CCM juzi katika Ikulu ya Magogoni amatuia fedha za umma kuwakirimu wanaCCM wenzake na pia wametumia majengo ya serikali badala ya majengo ya chama au kukodi ukumbi. zile fedha ambazo CCM wangetumia kukodi ukumbi wameziokoa kwa kutumia jengo la serikali. ni hatari sana I see.Ah ah... hapo ondoa uhuru na Mzalendo kwani nahisi ayo hayatumii ela yetu unless O/Wise itakua ni kuhujumu uchumi wetuu