Pendekezo: Tarehe 26-04-2018 Majeshi yote ya Tanzania yasherehekee Muungano kwa kufanya usafi nchi nzima

Naona mavi yanagonga chupi sasa mtu kama anapendwa na Watanzania wote mpaka wabunge wa vyama Pinzani wanahama kuunga mkono juhudi za JPM sasa wanaogopa nini watu kumi tu ambao wataandamana ndo wanawapa presha hapo ndo utajua kwamba jamaa anajidanganya mwenyewe kwamba anapendwa
 
Kwa vile majeshi ni tawi la chama chetu na kwa vile majeshi ndiyo yamebaki na nguvu za kutawala majukwaa ya siasa katika utawala wa awamu hii
naunga mkono hoja yako
Wanayashusha hadhi sana haya majeshi yetu. Yamekuwa ya kufanya usafi tu.
 
Unajua Viongozi wanatumia kigezo cha Amani kukandamiza watu lakini wananchi wakisema inatosha viongozi wataanza kueshimu Wananchi hata hakuna kinachoweza kushinda Nguvu ya Umma
 
Mimi nashauri polisi ndio wafanye usafi ila wanajeshi wetu waendelee kulinda nchi yetu.
 
Kama mange anaweza kulipigisha kwata jeshi letu nahama nchini mpàka tutakapopàta amirijeshi mwenye akili.

Nimecheka sana mkuu Mange atalipigisha kwata jeshi letu nitacheka watu wanaogopa maandamano wakati wanasema wanakubalika kumbe wanatudanganya naanza kuahamini hata wale Wabunge wanunuliwa nilijua ni story za vyama vya Upinzani kumbe kuna ka ukweli sasa watu wanasema wanakubalika wanaogopa maandamano ya watu kumi
 
Wakimaliza waende somalia kuwahamasisha namna ya kufanya usafi kila mtaa ili pwani iwe safi.
 
usafi ni wajibu wa jamii,labda kama wangelima mashamba makubwa kwa kutumia trekta ili jamii ijifunze kulima mashamba makubwa na kupata mazao mengi,na tuache kutegemea jembe la mkono.
Maana inasemekana kilimo kimeshuka sana katika kuchangia pato la taifa.
Naunga mkono, nguvu kazi kubwa kama hiyo inaweza kujenga viwanda vingi sana kwa siku moja
 
Back
Top Bottom