Bravo Mzee Shughuli,
Maneno mazito hayo!, isipokuwa kwa hii forum tuna kazi kweli kweli!, yaani let me get this straight, ukikamatwa huna ukweli jawabu ni kusema AAahhhhhh mimi ninakubali lakini wengine humu hawakubali? Unapaswakusema Jamani samahani kwa kutaka kuwapotosha bila ya kuwa na ukweli, FULL STOP!
Hadhi ya hii forum haiwezi kujengwa kwa kukwepa responsibility na kujaribu kuwarushia wengine kubali yaishe basi, ama sivyo mnaishusha hadhi ya hii forum na haya mafumbo yenu yasiyokwisha, mikikamatwa kubalini kuwa hamjui, PERIOD!
Msilete hadithi za Abunuwasi hapa, sisi wote ni watu wazima hapa umekamatwa kuwa hujui ulichoahidi au hujui ulichokisema as the case katika hii mada, kubali yaishe, na ndio maana tulisema huo ukweli wa 100%, mnaoudai hamuuwezi na hatuutaki maana tulijua kuwa sisi wajumbe humu sio PERFECT, tulijua kuwa mambo kama haya ya mjumbe kuja humu na kusema asichokijua yatatokea na ni kawaida kwa binadamu, ndio maana mzee Fillga nimeomba wajumbe wapewe muda wa kufikiri kwanza kuhusu sheria, huu ndio mfano wenyewe maana kama ingepitishwa ile sheria jana kama yeye mwenyewe alivyolilia,
Leo angekuwa Ex-member, hiyo hatutaki maana tunaheshimu michango yenu na tunaelewa binadamu sio kamili hukosea kama mlivyokosea hapo juu, ila mkikosea, kubalini bila mafumbo ama sivyo apology yenu inakuwa sio ya kweli, na ya kudharau hii forum, dawa ni kukubali yaishe, ndio uungwana!
Walllahi, I love this forum, IDUMU!