Binafsi sion haja ya kuendelea kua na sherehe kila mwaka na kutumia pesa kibao kuandaa maonesho ya wakulima ambayo hujaa bidhaa za wafanyabiashara na kukiuka lengo zma la maonesho hayo.
halafu siku kama ya leo ya wakulima inawasadia nn wakulima wa kijijin kwangu ambao leo wanauza pamba yao kwa Tsh 600/kg huku hali ya maisha ikiendelea kuwa ngumu kila kukicha....
halafu siku kama ya leo ya wakulima inawasadia nn wakulima wa kijijin kwangu ambao leo wanauza pamba yao kwa Tsh 600/kg huku hali ya maisha ikiendelea kuwa ngumu kila kukicha....