PENDEKEZO: Sikukuu ya NANE NANE ifutwe

Kumbuka kwenye budget za wizara zetu kuna fungu la posho za kwenda kutembelea maonyesho hayo sasa yakifutwa unakuwa umepunguza perdiem za watu kwa mwaka! Napenda ifahamike kuwa kila kitu huwa kuna wanaonufaika na wasionufaika sasa hapa wanaonufaika ndio wanauwezo wa kusema maonyesho haya yaendelee kuwepo au yasiwepo then unategemea nini? Mkulima anakula hasara au anapata faida wao siyo tatizo hata kidogo, wakulima wamekuja au niwafanya biashara ndio wamejaa pale pia sio tatizo. Suala ni kwamba kiongozi kaja, posho yake kesha chukua na waandishi wa habari na makamera yao yapo basi!
hichi mkuu ndo hatuki kiendelee kuwepo...na kama hatuwez kukitoa c bora tuyafut tu...
 
Binafsi sion haja ya kuendelea kua na sherehe kila mwaka na kutumia pesa kibao kuandaa maonesho ya wakulima ambayo hujaa bidhaa za wafanyabiashara na kukiuka lengo zma la maonesho hayo.
halafu siku kama ya leo ya wakulima inawasadia nn wakulima wa kijijin kwangu ambao leo wanauza pamba yao kwa Tsh 600/kg huku hali ya maisha ikiendelea kuwa ngumu kila kukicha....

ingekuwa nna jeuri ningefuta nyingi tu kuanzia na hii. tunapoteza resources tu bila sababu.
 
kweli mkuu..but ebu taja zngine tuzjadri hapa

karume day,nyerere day,mapinduzi ya zenji, muungano,saba sasaba,etc. yaani zingebaki independence day tu na zile sikukuu za dini.

kwa mtazamo wangu zinapoteza tu muda wa uwajibikaji. kama kuwaenzi WAASISI tuwaenzi kwa kufanya kazi sio kulala home na kushinda bar.
 
Unajua unapotoa maoni kuhusu issue kubwa kama hii ni vizuri ukatumia COST/BENEFIT ANALYSIS.
 
acheni iwepo na kwa wasioitaka acheni mkae majumbani, kwani wanaoona manufaa wataenda, mbona 77 Dsm wanaenda na huko kuna Makampuni ya nje, Nani angejua km ardhi ya Dodoma ingekubali zaidi ya mazao 20 mapya ya kilimo korosho likiwa mojawapo, au nani angejua kazi za Brela za kuandikisha makampuni ni bei rahisi kuanzia 6,000/ mpaka 300,000/ wakati tulikuwa tukipitia kwa wakala na Wakili unachajiwa hadi 550,000/=
Msipinge kila kitu kwani hata mataifa mengine wana maonyesho yao ya vitu vya asili
MM NINGESHAURI LIGI YA MPIRA WA MIGUU TANZANIA INGEFUTWA KWANI SIONI FAIDA YAKE KWENDA ANGALIA WATU 22 WANASHINDANIA LIGOZI UWANJANI NA MASHABIKI KUUANA ETI SIMBA, YANGA, MAN U nk
jinsi ww unavyochukia hiki na mwenzako hakipendi ni shurti kuvumiliana

Mhhhhh!! hata jina lako linaendana na comments zako... ukwaju ukwaju tu...
 
acheni iwepo na kwa wasioitaka acheni mkae majumbani, kwani wanaoona manufaa wataenda, mbona 77 Dsm wanaenda na huko kuna Makampuni ya nje, Nani angejua km ardhi ya Dodoma ingekubali zaidi ya mazao 20 mapya ya kilimo korosho likiwa mojawapo, au nani angejua kazi za Brela za kuandikisha makampuni ni bei rahisi kuanzia 6,000/ mpaka 300,000/ wakati tulikuwa tukipitia kwa wakala na Wakili unachajiwa hadi 550,000/=
Msipinge kila kitu kwani hata mataifa mengine wana maonyesho yao ya vitu vya asili
MM NINGESHAURI LIGI YA MPIRA WA MIGUU TANZANIA INGEFUTWA KWANI SIONI FAIDA YAKE KWENDA ANGALIA WATU 22 WANASHINDANIA LIGOZI UWANJANI NA MASHABIKI KUUANA ETI SIMBA, YANGA, MAN U nk
jinsi ww unavyochukia hiki na mwenzako hakipendi ni shurti kuvumiliana

kwani hizo kazi za brela na info za ardhi ya dodoma zisingetangazwa kama kusingekuwa na hayo maonyesho?
 
Ninaposema yaboreshwe yawe ya kumsaidia mkulima kujua wapi atapata ushauri wa kitaalamu,mbegu bora,dawa bora,masoko ya mazao,usindikaji,uvunaji wa mvua hii teknologia wanatumia sana wairani badala ya kujaza watu wanaoenda kwa ajili ya posho na kelele za muziki zimezidi
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom