FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 93,232
- 109,798
Faiza hata mimi nakubaliana naye na nimeandika hapo juu na kutoa anaglizo. Walau hoja zake zinaeleweka na hana league ya kujirudia rudia kubeba mpira kwapani . . . .
Hoja yangu ni very simple.
Wazo lako la vijiji ni duni na halina mshiko kwa kuwa lilishindwa hata na Nyerere kama ulivyoainisha wewe mwenyewe.
Sasa think mega na achana na mawazo duni.