aweke wenyeviti wawili...tawala na upinzani
Ama wanaharakati na wanazuoni wa political science
Prof. Shivuji akisaidiwa na jaji Wariba
Changia hoja acha kebehi...are u Mr clean?rais atateua kwa kutumia busara yake sio nyie mumlazimishe.slaa bado anakabiliwa na kesi ya kuiba mke wa mtu
kama mwenyekiti ni wa upinzani katibu ni wa upande mwingine
Changia hoja acha kebehi...are u Mr clean?
Katika mwenendo wa utungaji wa katiba nadhani kuweka imani ya watanzania waliopoteza juu ya umakini wa mchakato wa Kutunga katiba mpya namshauri Jk kumchagua Dr. slaa kuwa mwenyekiti wa tume ya kutunga katiba mpya.
SOURCE:Godwine
Changia hoja acha kebehi...are u Mr clean?
Sikubaliani na hili pendekezo hata kidogo, atakuwa bias na ataweka matakwa ya cdm zaidi kwenye Katiba, we need a free and liberated person in this position ambaye si politician na wala si wakala wa ccm. Ingawa watu kama Pof. Baregu wanafaa kwenye kamati
wewe jamaa ni pumba kila siku darasa lako limejaa utata mtupurais atateua kwa kutumia busara yake sio nyie mumlazimishe.slaa bado anakabiliwa na kesi ya kuiba mke wa mtu