Amani Nyekele
Senior Member
- Jul 8, 2011
- 159
- 26
Katika hili sasa mnapuuzana wenyewe kwa wenyewe, mlimsifia TUNDU LISSU kwa hotuba yake juu ya mchakato wa katiba ambayo wengi tuliiona kuwa ilikuwa na lengo la kuvunja muungano na ndiyo maana wakagomea mjadala bungeni....kwa nini msimpendekeze huyo ambaye kitaaluma ni mwanasheria?
am informed that Dr Slaa is also a cannonic lawyer!!!!!!!!!!!!!!!