Pendekezo la mgomo wa abiria nchi nzima

Pendekezo la mgomo wa abiria nchi nzima

Na kila mtu akiendesha baiskeli tutapaki wapi????


Barabara za mjini hata kupaki gari tu shida. Unafanya kazi wizara ya fedha gari unapaki feri. Sasa baiskeli zikiruhusiwa unadhani itakuwaje.
 
Huo Mgomo Hautekelezeki!

kuna nchi kama sweden, japan na swiz watu wengi wanatumia baiskel na kuna parking za kutosha
bikesinbelgium1421695106.jpg
 
Tuachane na uvivu na ubishoo, tudai haki ya kuwekewa barabara za baiskeli, tumechoka kuchelewa makazini kwa migomo hii

[h=3]8. Switzerland[/h][h=3]8. Switzerland[/h]
bikesinswitzerland1421695107.jpg
 
Ugome kama unasafiri kutalii ila kama unatafuta pesa ugome ili iweje?????? na kwasababu gani ugome?????? ni vema ukagoma kama mgomo unatija sio kuigiza tu.
 
Back
Top Bottom