Pastor Achachanda
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 3,023
- 1,316
Wadau bila shaka hamjambo. Nimefikiri kwa kina nikaona kuwa bila migomo na maandamano hakuna haki. Pia kila upande unapokumbana na na migomo kuna sehemu utekelezaji huchukua nafasi na hivyo haki hutendeka.
Najua kidogo ni ngumu lakini tukiamua kusimamisha shughuli zetu kwa kutoa muda mengine yapite tutakuwa tumejiokoa kwa siku za usoni.
Basi naomba na sisi abiria tugome kusafiri nchi nzima ili kurudisha thamani yetu. Tutachezewa na kurudishwa nyuma maendeleo yetu hadi lini?Leo nimetoka Lilambo Songea hadi Msamala kwa bodaboda Tsh 14000 kwenda na kurudi wakati huwa natumia Tsh 1800. Haki iko wapi?Tugome na sisi. Wenu Pastor Achachanda
Najua kidogo ni ngumu lakini tukiamua kusimamisha shughuli zetu kwa kutoa muda mengine yapite tutakuwa tumejiokoa kwa siku za usoni.
Basi naomba na sisi abiria tugome kusafiri nchi nzima ili kurudisha thamani yetu. Tutachezewa na kurudishwa nyuma maendeleo yetu hadi lini?Leo nimetoka Lilambo Songea hadi Msamala kwa bodaboda Tsh 14000 kwenda na kurudi wakati huwa natumia Tsh 1800. Haki iko wapi?Tugome na sisi. Wenu Pastor Achachanda
Last edited by a moderator: