3squere
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 925
- 181
japo ni mapema sana lakini kabla ya mawazo kufika mbali ingekuwa busara sana jf na cdm kumpa nafasi ya kamanda wetu rejia mtema mdogo wake hili iwe ni moja ya kumuezi dada yetu alafu hikumbukwe kwamba uyo pacha wake alikuwa katibu wake na kwa ufupi alikuwa kamanda kikosi cha nyuma na ni mpanga mashambulizi.
Amen
Amen