Kweli wanawake tuna kazi kenda kutumbua maisha na vidosho wengine sasa wanarudi..Ni kweli inatakiwa huyu mwanamama amuombe mmewe wakacheki kama afya ziko tambarare ndiomengineyo yafatie ..la sivyo hizi ni hbari za kukatishiana maisha.Ngoma inasambaa kwa kazi ya ajabu sasa