Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,499
- 10,538
Mimi sio msabato.Pole msabato, kaungane na wenzako msikitini maana ninyi wasabato sio wakristo
Mimi sio msabato.Pole msabato, kaungane na wenzako msikitini maana ninyi wasabato sio wakristo
Naona wengi mnasema kuhusu usabato. Wale wasabato ni kama nyie warumi, wote mnaabudu sanamu. Nyie yenu mnaiita bikira maria na wao wanayo wanaiita sabato.Wewe utakuwa ni msabato unayeongozwa na uzushi wa malaya mmoja mzungu hellen white
Mjinga km wewe,ukiniambia kuwa Sina Yesu hainiumizi kichwa maana wewe si chochote, Wewe ni mvimba macho tu.Hili andiko lako hapa linathibitisha pasipo shaka yoyote hoja yangu. Yesu Kristo ninayemfahamu mimi hayupo kabisa sawa na lugha yako inayoonesha kilichopo moyoni mwako.
Si vyema kumuita mbwa huyu mtu. Lakini sisi wanadamu tulio kwenye makanisambalimbali tumekuwa ni watu wa kuwaona wengine si makanisa ya kweli hili jambo si sawa pia. Ukweli tusome neno la Mungu tulielewe na habari za madhehebu hazitatusumbua.Hebu acha chuki zako mbwa wewe,Majitu mengine kazi kuleta chuki za kidini tu,sasa km kweli Wewe unakielewa unachokipinga si ueleze hapa kinagaubaga!!,Lkn kwasababu wewe una chuki tu na Kanisa Katoliki ndio maana huwezi kuelezea.Na mtakoma sana na chuki zenu tunaendelea kujizatiti kiimani,Redio Maria Sasa inazidi kuenea Nchi nzima ili watu wapate Injili,Wavimba macho mtakoma.
Nimemjibu kutokana na kauli yake,Sio dhambi kumjibu mtu Mjinga kadiri ya Ujinga wake, hata Yesu Kristo aliwahi kumwita Herode Mbweha Lk.13:31-32, kutokana na Upuuzi wa Herode, imeandikwa hivi;Si vyema kumuita mbwa huyu mtu. Lakini sisi wanadamu tulio kwenye makanisambalimbali tumekuwa ni watu wa kuwaona wengine si makanisa ya kweli hili jambo si sawa pia. Ukweli tusome neno la Mungu tulielewe na habari za madhehebu hazitatusumbua.
Na nyie mnaojiabudu wenyewe kila mtu anatafuta ukubwa na heshima asizostahiliNaona wengi mnasema kuhusu usabato. Wale wasabato ni kama nyie warumi, wote mnaabudu sanamu. Nyie yenu mnaiita bikira maria na wao wanayo wanaiita sabato.
🤣🤣🤣 Kweli aiseeNi padri mzuri but apunguze chuki kwa karismatiki
Hao unaowaita nyie sifahamiani nao.Na nyie mnaojiabudu wenyewe kila mtu anatafuta ukubwa na heshima asizostahili
hawataenda mbinguni kwa kuheshimu nyumba za ibada.Baba padre nyumba za ibada zinachezewa Sana kwa nn wasanii waislamu hawafanyi Sanaa yao misikiti I? Wenzetu wanaheshimu Sana nyumba zao za ibada kwa wasimamizi wa hayo makanisani wanaruhusu upumbavu ufanyike kanisani tena na wasanii Waislam ipo siku wataigiza porn kanisani.Kemeeni jamani
NoAndiko zuri sana ila kwa vile tumeshachelewa na wanaume wameshakuwa goigoi basi tuhamie upande wa pili wa kuwainua wanawake, tukiwa na wanawake waliojithamisha na WA ghali ya juu kama elimu Bora, maarifa Bora, maisha Bora na ajira za kujikimu wao basi tutapata wanaume wenye kujituma Ili wapate kilicho Bora.