Pd proxy na tunnel guru vip??

Haya mkali mambo yashakuwa mambo huko tupe basi hizo port zakubadilika badilika watu waendelee kula maisha krapka Davinoooooooooooooo!!!!

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

Mwambie huyo,maana alikuwa anaongea kama expert.
 
Duh nilitabiri hili baada ya kuona reseller wanaongezeka hapa ninenunia laptop
 
Naona leo ni kilio kwa wengi jamvini.... Nomasana
 
mkubwa je bado pd ina fanya kaz ,kama ndio ntaipataje ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…