PCCB, Kumekucha leo

PCCB, Kumekucha leo

mgonjwa

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2013
Posts
514
Reaction score
223
Wadau pccb walisema result itakua out before ijumaa asubuhi ndo hii vp washaachia hayo majina wadau
 
kamanda hutaki masikhara kabisa mapema na mna hii wale jamaa wanaweza toa hata jioni fulani hivi
 
Wadau pccb walisema result itakua out before ijumaa asubuhi ndo hii vp washaachia hayo majina wadau

ahahahaaaa unaharaka ndugu yangu...utaitwa tena inshaallah! Mwombe Mungu
 
Wadau pccb walisema result itakua out before ijumaa asubuhi ndo hii vp washaachia hayo majina wadau

heading inatueleza,
content inatuuliza,
kwa uandishi huu pccb watakuacha aisee!
 
Toka jana, wameanza kupiga simu na kuwaambia wapeleke picha.
 
Jifunze kuandika vizyri,haueleweki unauliza au unatoa taarifa...au ndo kupaniki?
 
before ijumaa asubuhi....mbona kama leo ni alhamis?
 
wewe umesota sana mtaa nini? tangu lini serikali kuwa panctual wee tegemea next week mwishoni labda ,wee angalia mwenyewe interview uliambiwa saa tatu jee ilikuwa kweli si mvurugano tuu ulotokea pale,angalia stamico mpaka leo na walisema january mwanzoni ,ukifanya interview serikalini wee potezea kabisaaa usiwe na haraka kabisaaaaaaaaa.
 
Mimi nimeskia zinatoka rasmi kesho.sasa sielewi kama 2natiana moyo au vp jaman
 
Back
Top Bottom