ha ha ha mna bahatisha nini?hamkuuliza wakati wa interview?Mimi nimeskia zinatoka rasmi kesho.sasa sielewi kama 2natiana moyo au vp jaman
ha ha ha mna bahatisha nini?hamkuuliza wakati wa interview?Mimi nimeskia zinatoka rasmi kesho.sasa sielewi kama 2natiana moyo au vp jaman
huyo mwenye ndugu huko naomba atuundanishie sote
ha ha ha ha ha unabahatisha tukabla saa mbili usiku tembelea web yao
wadau pccb walisema result itakua out before ijumaa asubuhi ndo hii vp washaachia hayo majina wadau
ahsante mkuuwale wote waliopahatika hawa hapa:mimi yamegoma karibuni kachwamba chato geita jembe mwanzo mwisho.
Yaani bora wewe umeona hata number yako. mimi jina na number sivioni, huu ni usanii tu, Mungu yupo ipo siku tutatoka tu.oya ndg zangu number yangu yamtihani wamemwandikia mwengne namimi ndo niliku nimepta ila ye ndo kapta nfanyeje
Hongereni mlioitwa