SirAlfred006
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 551
- 1,304
Niko hapa kwa issue zako zote za PayPal.
Nione
Nione


BOT hawaitaki hioMkuu
Hii huduma imwruhusiwa na wahafidhina BOT? Maana wao kutwa kuforecast upungufu wa dola huku wakiembarass mifumo maridhawa ya online transactions
Weka mawasiliano tukufikie
ndio maan tukawa jiran na Kenya .. Hasa hasa sisi tuliopo karb na Namanga tunakula bata na paypal... hunyimwi vyoteHii huduma unaweza kufungua account ila shida baadhi ya nchi wanakosa uwezo wa kuchomoa hela kwenye account. Ikiwemo Tanzania.