luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,295
- 8,261
Umaskini unakusumbuaMboe nae amedhulumu waandishi wa habari, hivi watu wa milimani mkoje?
Umaskini unakusumbuaMboe nae amedhulumu waandishi wa habari, hivi watu wa milimani mkoje?
Hizo nÿumba alimdhulumu Nani?Eneo lote lile frame zile za billionaire pale mikocheni ni zake,ukikunja kama unaenda rose garden Ana nyumba kama 5,ukija shoppers jirani tupo pia
Hyu Ana nyumba nyingi sana kaanza dhuluma kitambo sana
Jamaa hatari sana
Ova
Alimtapelije?Alishamtapeli jirani yangu nyumba huyo
Kupitia makesi ya kubumbaAlimtapelije?
Alikuwa "anajimilikisha".sema alikuwa anamilikishwa kinyume cha sheria.Huyo aliyekuwa anatoa umiliki hapo ofisi za ardhi inanidi awe shahidi namba mojaMtuhumiwa wa kutapeli na kudhulumu viwanja vya atu na kujimilikisha kinyume na utaratibu Jijini Dar Es salaam, Paul Mushi ametolewa kituo cha Polisi Oysterbay na kupelekwa Mahakama ya mwanzo Kinondoni.
Hatua hiyo imefuatia baada ya mtuhumiwa huyo kukamwatwa hapo awali kwa tuhuma za kunyang'anyav iwanja vya watu kadhaa na sasa amepekwa Mahakamani ili hatua za kisheria ziendelee.
Hatua hiyo inakuja baada ya Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe.Jerry Silaa, kutangaza kuanza kwa operesheni maalumu ya kudhibiti matapeli wa ardhi
katika Jijila Dar es salaam.
Siku chache zilizopita kulifanyika Kliniki ya Ardhi ya Jijini Dar Es Salaam na kuhitimishwa mnamo tarehe 3 Machi2 024 kwa lengo la kutatua migogoro ya ardhi iliyokuwa inasumbua Jiji la Dar Es Salaam kwa muda mrefu.
Chanzo: ITV
Hatua hiyo inakuja baada ya Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe.Jerry Silaa, kutangaza kuanza kwa operesheni maalumu ya kudhibiti matapeli wa ardhiMtuhumiwa wa kutapeli na kudhulumu viwanja vya atu na kujimilikisha kinyume na utaratibu Jijini Dar Es salaam, Paul Mushi ametolewa kituo cha Polisi Oysterbay na kupelekwa Mahakama ya mwanzo Kinondoni.
Hatua hiyo imefuatia baada ya mtuhumiwa huyo kukamwatwa hapo awali kwa tuhuma za kunyang'anyav iwanja vya watu kadhaa na sasa amepekwa Mahakamani ili hatua za kisheria ziendelee.
Hatua hiyo inakuja baada ya Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe.Jerry Silaa, kutangaza kuanza kwa operesheni maalumu ya kudhibiti matapeli wa ardhi
katika Jijila Dar es salaam.
Siku chache zilizopita kulifanyika Kliniki ya Ardhi ya Jijini Dar Es Salaam na kuhitimishwa mnamo tarehe 3 Machi2 024 kwa lengo la kutatua migogoro ya ardhi iliyokuwa inasumbua Jiji la Dar Es Salaam kwa muda mrefu.
Chanzo: ITV
Asante mkuu,sasa nimeelewa kua ana info kutoka ndani ya wizara ya ardhi, na ndiyo maana anafanikisha uwovu wake kwa masikini wasiyokua na fedha wala connection, na kweli bila waziri kulisimamia hili hakuna atakae muweza, labda DPP nae aingilie kati ili iwe funzo kwa matapeli wa viwanja vya watu!!Alikua mwajiriwa ardhi ndio akaanza ushenzi wake
Ni Mushi huyu wa Ambiance club Africa Sana?Mzee mushi mzushi sana
Anaishi kwa dhuluma sana
Angekuwa kama S.A sahv washamfkia...
Ukimuona sasa anavyongea utasema boya fulani
Ova