Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 2,545
- 1,922
Kwa kweli tunaomba Mh Rais utuletee Makonda Mbeya kabla ya uchaguzi 2025.
Sababu zipo nyingi kuanzia za kisiasa na za kiutendaji.
Hapa kisiasa labda ataweza kumsadia Tulia akarudi bungeni vinginevyo hali inaweza kuwa ngumu.
Huyu ndugu atatusaidia sana Mbeya kupata uchangamfu wa mji, na kulikumba hili jiji liliosahaulika kila nyanja.
Ama wanambeya mnasemaje?
Sababu zipo nyingi kuanzia za kisiasa na za kiutendaji.
Hapa kisiasa labda ataweza kumsadia Tulia akarudi bungeni vinginevyo hali inaweza kuwa ngumu.
Huyu ndugu atatusaidia sana Mbeya kupata uchangamfu wa mji, na kulikumba hili jiji liliosahaulika kila nyanja.
Ama wanambeya mnasemaje?