CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 5,197
- 8,869
Mumeo huyoNdugu zangu Watanzania,
Paul Makonda ni aina ya mtu ambaye Rais yeyote yule anayeingia madarakani hawezi kumuepuka au kutotaka kufanya naye kazi,ni kiongozi ambaye ni ngumu kumuweka kando muda wote. Kwa kiongozi yeyote yule wa ngazi ya Urais ni lazima atatamani tu kuwa na Makonda karibu yake katika kufanya naye kazi.
Hii ni kwa kuwa Paul Christian Makonda ni kiongozi mchapa kazi sana,ni kiongozi mbunifu sana,ni kiongozi mwenye moyo wa kujituma,ni kiongozi mwenye maono na kiu ya maendeleo,ni kiongozi wa kisasa na anayekwenda na wakati,ni kiongozi mwenye roho ngumu na moyo wa chuma katika kuhakikisha kuwa anasimamia kile anachokiamini katika kuwaletea matokeo chanya wananchi.
Paul Makonda ni Mwamba anayekupatia matokeo ya aina yoyote ile unayoyataka wewe kwa wakati husika.,ni kiongozi ambaye ni mwepesi wa kubadilika,anaweza kuwa yeyote yule unayemtaka wewe na katika mazingira ya aina yoyote ile,ni kiongozi ambaye anafiti katika mazingira ya aina yoyote ile,ni kiongozi ambaye anaweza kubadilisha chochote na kwa wakati wowote na kukupatia matokeo unayoyataka wakati wowote ule unaoutaka mwenyewe.
Mwamba Makonda ni kiongozi jasiri anayecheza katika Dunia yake ya ujasiri,viatu vyake vya ujasiri huwezi ukamvalisha mwingine na vikamtosha na kumuenea vyema na kukupatia kile ambacho Mwamba angekupatia., Mwamba ni kiongozi mtiifu na mnyenyekevu sana katika ufanyaji kazi wake na kwa mamlaka ,ni kiongozi mwenye nyota kali sana na ushawishi wa aina yake kwa watu.unaweza ukaziba masikio lakini ukabaki unamtizama kwa picha.jiulize ni kwanini anakubalika kwa kila Rais anayeingia madarakani?
Jibu ni kuwa watu majasiri na wa kaliba ya Paul Makonda ni nadra sana kuwapata katika jamii iliyojaa watu waoga,wanafiki,wambeya,wazushi, wachawi,wachonganishi,wenye kutegemea uchawi na ushirikina katika kufanikiwa ,wenye roho za kwanini na walio tayari kutoa uhai wa mtu kwa ajili ya mali au madaraka.Paul Makonda anabaki kuwa Paul Makonda.hafanani na Hana wa kufanana naye hapa nchini wala wa kufananishwa naye hapa nchini.hana mbadala wake wala wa niaba yake.ni ngumu sana kumpata mtu mwenye kuweza kuvaa viatu vya kila aina na saizi yoyote na uhusika wa aina yoyote na akakubalika kwa namna kubwa anayokubalika huyu Mwamba.
Makonda ni hazina kwa Taifa letu,ni karata ya kipekee sana kwa nchi,chama na serikali yetu. Ni kama komandoo anayetegemewa katika jeshi kuongoza mapambano mahali penye ngome ngumu ya adui.ni kiongozi ambaye wewe mpe kazi na nyenzo halafu muachie akufanyie kazi.ni lazima utapenda Mwenyewe na kutabasamu tu.ndio maana kila anapopewa majukumu ya aina yoyote ile ndani ya chama na serikali huwa analeta matokeo chanya na makubwa.jiulize Mwamba ametokea wapi? Ni wapi amewahi kupwaya? Jibu ni kuwa siku zote amekuwa mshindi na kubakia kileleni.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Tamko alilotamka Mkuu wa Mkoa wa Arusha ni tamko mbaya sana na linaleta uchochezi na chuki. Ni aibu kutamka mbele ya kadamnasi ya watu kuwa kuna watu wanamtukana Mhe. Rais. Jambo hili alitakiwa amueleze Mhe. Rais kwa siri kubwa. Mhe. Rais Mkuu wa Mkoa wa Arusha hakufai ni bora umtumbue mapema atakuletea uadui mkubwa na Watanzania. Kikubwa anajipendekeza kwako.
Kiukweli kauli Ile, ni sawasawa na kuichimbia kaburi CCMTamko alilotamka Mkuu wa Mkoa wa Arusha ni tamko mbaya sana na linaleta uchochezi na chuki. Ni aibu kutamka mbele ya kadamnasi ya watu kuwa kuna watu wanamtukana Mhe. Rais. Jambo hili alitakiwa amueleze Mhe. Rais kwa siri kubwa. Mhe. Rais Mkuu wa Mkoa wa Arusha hakufai ni bora umtumbue mapema atakuletea uadui mkubwa na Watanzania. Kikubwa anajipendekeza kwako.
Kwani umekuja ukakuta maisha yangu yamekwama kwenye tope la mvua.Hebu fikiria kama ungekuwa unafuatilia maisha yako binafsi kama unavyomfuatilia Makonda Kwa maika mitano TU,ungekuwa mbali kiasi gani ?
Hahahahaaaa.........😁😅Hebu fikiria kama ungekuwa unafuatilia maisha yako binafsi kama unavyomfuatilia Makonda Kwa maika mitano TU,ungekuwa mbali kiasi gani ?
Lengo lilikuwa nzuri, lakini umepitiliza muno kusifia.Ndugu zangu Watanzania,
Paul Makonda ni aina ya mtu ambaye Rais yeyote yule anayeingia madarakani hawezi kumuepuka au kutotaka kufanya naye kazi,ni kiongozi ambaye ni ngumu kumuweka kando muda wote. Kwa kiongozi yeyote yule wa ngazi ya Urais ni lazima atatamani tu kuwa na Makonda karibu yake katika kufanya naye kazi.
Hii ni kwa kuwa Paul Christian Makonda ni kiongozi mchapa kazi sana,ni kiongozi mbunifu sana,ni kiongozi mwenye moyo wa kujituma,ni kiongozi mwenye maono na kiu ya maendeleo,ni kiongozi wa kisasa na anayekwenda na wakati,ni kiongozi mwenye roho ngumu na moyo wa chuma katika kuhakikisha kuwa anasimamia kile anachokiamini katika kuwaletea matokeo chanya wananchi.
Paul Makonda ni Mwamba anayekupatia matokeo ya aina yoyote ile unayoyataka wewe kwa wakati husika.,ni kiongozi ambaye ni mwepesi wa kubadilika,anaweza kuwa yeyote yule unayemtaka wewe na katika mazingira ya aina yoyote ile,ni kiongozi ambaye anafiti katika mazingira ya aina yoyote ile,ni kiongozi ambaye anaweza kubadilisha chochote na kwa wakati wowote na kukupatia matokeo unayoyataka wakati wowote ule unaoutaka mwenyewe.
Mwamba Makonda ni kiongozi jasiri anayecheza katika Dunia yake ya ujasiri,viatu vyake vya ujasiri huwezi ukamvalisha mwingine na vikamtosha na kumuenea vyema na kukupatia kile ambacho Mwamba angekupatia., Mwamba ni kiongozi mtiifu na mnyenyekevu sana katika ufanyaji kazi wake na kwa mamlaka ,ni kiongozi mwenye nyota kali sana na ushawishi wa aina yake kwa watu.unaweza ukaziba masikio lakini ukabaki unamtizama kwa picha.jiulize ni kwanini anakubalika kwa kila Rais anayeingia madarakani?
Jibu ni kuwa watu majasiri na wa kaliba ya Paul Makonda ni nadra sana kuwapata katika jamii iliyojaa watu waoga,wanafiki,wambeya,wazushi, wachawi,wachonganishi,wenye kutegemea uchawi na ushirikina katika kufanikiwa ,wenye roho za kwanini na walio tayari kutoa uhai wa mtu kwa ajili ya mali au madaraka.Paul Makonda anabaki kuwa Paul Makonda.hafanani na Hana wa kufanana naye hapa nchini wala wa kufananishwa naye hapa nchini.hana mbadala wake wala wa niaba yake.ni ngumu sana kumpata mtu mwenye kuweza kuvaa viatu vya kila aina na saizi yoyote na uhusika wa aina yoyote na akakubalika kwa namna kubwa anayokubalika huyu Mwamba.
Makonda ni hazina kwa Taifa letu,ni karata ya kipekee sana kwa nchi,chama na serikali yetu. Ni kama komandoo anayetegemewa katika jeshi kuongoza mapambano mahali penye ngome ngumu ya adui.ni kiongozi ambaye wewe mpe kazi na nyenzo halafu muachie akufanyie kazi.ni lazima utapenda Mwenyewe na kutabasamu tu.ndio maana kila anapopewa majukumu ya aina yoyote ile ndani ya chama na serikali huwa analeta matokeo chanya na makubwa.jiulize Mwamba ametokea wapi? Ni wapi amewahi kupwaya? Jibu ni kuwa siku zote amekuwa mshindi na kubakia kileleni.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Akaulize familia ya Meya wa Jiji la MwanzaKujua kipi useme, useme wapi, wakati gani, na kwenye mazingira gani, kunahitaji akili ya kiwango fulani. Kama huna hiyo akili utabakia kuropoka chochote, wakati wowote na mahali popote.
Rais Samia ameyataka mwenyewe. Hakuna aliyemlazimisha amteue Makonda kwenye nafasi yoyote ile. Haya ni madogo, asubirie makubwa zaidi. Magufuli aliamua kuachana naye kabisa alipokuja kugundua kuwa aliyekuwa anamwamini alikuwa tapeli. Akaenda kugombea ubunge huku akiwadanganya watu kuwa ametumwa na Magufuli agombee ubunge ili ateuliwa kuwa Waziri wa mambo ya ndani. Hayati Magufuli alipoambiwa, aling'aka na kusema kuwa yeye hajamtuma mtu yeyote akagombee ubunge. Ndipo akaomba arudi kwenye ukuu wa mkoa, marehemu akamkatalia katakata, wakati huo akiwa tayari amefikishiwa taarifa kuwa jamaa amewatapeli GSM nyumba kwa kuwadanganya kuwa Rais alikuwa ameomba wamjengee, kumbe ni yeye ndiye aliyekuwa anahitaji kujengewa nyumba. Hapo akawa takataka mbele ya JPM.
Samia, takataka aliyoitupa mtangulizi wake, ameiona lulu. Asubirie kashfa zitakazompata kwa kupitia huyu mtu. Atapora magari, fedha na nyumba za watu kwa kutumia jina la anayemwita eti ni mama yake. Rais ameyataka mwenyewe, hajajua kuwa tumbili huwa hafugiki.
Kwa mfumo wa CCM Rais 2025- 2030 ni Samia tu. Labda aseme yeye hapana! Hilo sio jambo linalohitaji mjadala.Toka jana makonda hajapumzishwa,watu mitandao kila mtu anamnanga makonda,hapa tunaanza kuamini huenda kweli vijana wapo kazini.
2025 tunaenda na mama