GE2025 Paul Makonda: Oktoba 29 hakuna maandamano, wote wanaenda kupiga kura

GE2025 Paul Makonda: Oktoba 29 hakuna maandamano, wote wanaenda kupiga kura

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Mgombea ubunge wa jimbo la Arusha mjini kuptia chama Cha Mapinduzi CCM Paul Makonda amemhakikishia Mgombea urais kupitia cha hicho kuwa Oktoba 29 hakuna maandano na atapewa kura zakutosha.

Makonda amesema " Wananchi wa vijiweni wameniomba kwamba sasa hivi achaneni na habari ya kutokupiga kura hiyo imeshaa sahaulika, wameniomba mkipata fursa ya kuongea achaneni na mambo ya maandamano yameshaasahaulika wao wote wanaenda kupiga kura" Paul Makonda Mgombea ubunge wa jimbo la Arusha mjini

Makonda ameyasema hayo leo Oktoba 11, 2025 kwenye kampeni za chama hicho zilifanyika huko mkoani Shinyinga
 
Time Will tell⚙️🔩🔨🛠️🔧⛏️🗜️⚒️🔗⛓️
 
Mgombea ubunge wa jimbo la Arusha mjini kuptia chama Cha Mapinduzi CCM Paul Makonda amemhakikishia Mgombea urais kupitia cha hicho kuwa Oktoba 29 hakuna maandano na atapewa kura zakutosha.

Makonda amesema " Wananchi wa vijiweni wameniomba kwamba sasa hivi achaneni na habari ya kutokupiga kura hiyo imeshaa sahaulika, wameniomba mkipata fursa ya kuongea achaneni na mambo ya maandamano yameshaasahaulika wao wote wanaenda kupiga kura" Paul Makonda Mgombea ubunge wa jimbo la Arusha mjini

Makonda ameyasema hayo leo Oktoba 11, 2025 kwenye kampeni za chama hicho zilifanyika huko mkoani Shinyinga
.........matrakoniii hayooo....tutaya deal nayooo kuchoma kijumba pale farasiii...tutaelewsnaa tuu....
 
Huyo Bwege mbona mnapenda kumpa airtime sana
 
Wakuu,

MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Paul Makonda amesema wananchi wamemtuma kuueleza umma wa Watanzania kuwa hawataki kusikia tena habari za maandamano zinazoendelea mitandaoni.

Soma Pia: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Akizungumza leo Oktoba 11, 2025 kwenye mkutano wa kampeni wa Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, Shinyanga Mjini, Makonda amesema hata wale wanaotangaza uwepo wa maandamano hayo wanafahamu kuwa hakuna maandamano siku hiyo.

 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa na mali zao tunaishi nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
 
Back
Top Bottom