kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,189
- 16,198
Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM komredi Paul Makonda yupo kwenye mkutano na waandishi wa habari.
Maswali yote hata yanaonekana kumchokozana kumpanikisha lakini anajibu kwa utilivu kabisa na kujiamini .
Habari zaidi wafutilieni mubashara yanaoendelea huko kwenye vyombo vya habari.
Makonda ni mtu na nusu,
Maswali yote hata yanaonekana kumchokozana kumpanikisha lakini anajibu kwa utilivu kabisa na kujiamini .
Habari zaidi wafutilieni mubashara yanaoendelea huko kwenye vyombo vya habari.
Makonda ni mtu na nusu,