issara mandadobayyo
New Member
- Nov 3, 2014
- 3
- 1
Makonda kaingia kichwakichwa bile kutafakari anachofanya nini kaonekana hadharani alichofaya huwezi kujificha katikati ya Barbara useme mtu hatakuona ni ujinga alioufanya
Kumbe clouds ni wapuuzi kiasi hiki
Huyo dogo Makonda mjinga sana na sasa kinachomsumbua ni nafsi kumsuta kuhusu hilo la Warioba, jana pia tumesikia alimpiga mtu huko Dodoma, nafkiri ana matatizo ya akili huyu dogo...
Mwenyezi Mungu Hakuwa Na Makosa KUMPOFUA!
hivi mnaosikiliza hiyo redio hamna radio stations kama Magic, Times, E, Passion, Radio One, Capital, East Africa Radio, RFA, KISS?
Makonda yupo clouds radio kuhojiwa leo asubuhi kutokana na upuuzi alioufanya kwa mzee wetu, mtetezi wa taifa.
Endelea kukufuru lakini kumbuka wewe aliekupa macho na unaona umemlipa kwa mema yapi?
Nani yupo huko Butiku?
Clouds futa Delete kabisa, clouds nasikiliza Miladi Ayo tu.
Makonda kaingia kichwakichwa bile kutafakari anachofanya nini kaonekana hadharani alichofaya huwezi kujificha katikati ya Barbara useme mtu hatakuona ni ujinga alioufanya
Kumbe clouds ni wapuuzi kiasi hiki
na clouds hizi ndio kazi wanazozipenda
Ukisikia unafiki ndo huu,delete futa kumbe unasikiliza?
Endelea kukufuru lakini kumbuka wewe aliekupa macho na unaona umemlipa kwa mema yapi?
Makonda atakuja kuishia vibaya sana,, mwisho wake 2015 kwenye siasa.. Kwa sasa anatumika kama kidekio huyo
Stupid!