Paul Makonda live kupitia Clouds Radio

Paul Makonda live kupitia Clouds Radio

REDIO INTARAHAMWE,Fedha ya Rweyemamu inafanya kazi.Iwe Rweyemamu bakiza kidogo uje ununue shamba la mibuni huka KIZIBA jirani na Mawe profesa Tibaijuka.Huyu jamaa huwa haeleweki kila anapotoka Marekani lazima afanye mabadiliko.Au huko ndo kuna Sheikh Yahaya mpya?
 
Hi coverage ya Clouds FM haikuwa balanced kutoa picha halisi…Air time kubwa kapewa Makonda ili ajisafishe na Mpanju akimsadia

Hili liko wazi hata kwa mtu asie na elimu ya msingi (darasa la saba) kama ilivo ainishwa kwenye katiba inayopendekezwa

Kwanini Clouds hawakufanya initiative za kutafuta watu wengine waliokuwa kwenye mdahalo..ambao wako neutral..sio Wahariri wa habari tu ambao for some reasons watatoa maelezo kwa mlengo wa vyombo vyao vya habari?

Clouds FM nadhani ni chombo cha habari kisicho na credential za misingi ya habari za kumkomboa mwananchi….nadhani ni busara kwao kuendelea na habari za mambo rahisi rahisi tu kama kuandaa matamasha, Fiesta, habari za michezo na interviews za wasanii wa bongo flavor na Bongo movies...…kwenye issues sensitive zinazo husu nchi yetu waache watu wenye ueledi wa tasnia ya habari wafanye hiyo kazi ya kumkomboa Mtanzania..wao tutawasikiliza baada ya kazi kwenye sports extra tukiwa Bar na Tusker lite ya baridi!

Mimi nimemsikiliza Huyo Amon Mpanju..kwa maneno yake mwenyewe amesema hakuna mtu aliye mpiga tofauti na Makonda anavyodai alikuwa ana mlinda kwamba kuna watu walikuwa wana mpiga...

Mpanju mwenyewe kasema kuna vijana walimfuata kumwambia aachane na Makonda wao wamlinde yeye ndo akakataa..!

Makonda anamtumia Mpanju kudistract main agenda kwamba yeye na UVCCM wenzie ndo waliorganize hayo mabango na fujo zote zilizo tokea..hata kama yeye ukumbini hakupiga mtu lakin amehusika directly kuandaa huu uhuni wote.

Amoni Mpanju anaonekana ana akili lakini anataka kujitoa akili kutumika kutetea upuuzi wa CCM, amepoteza mantiki na kuanza kubishana na Warioba kuwa katiba pendekezwa haijasema elimu ya msingi ni darasa la saba..wakati hata kipengele cha elimu kama kigezo cha Mbunge kimetaja awe na darasa la saba (ambayo ndo elimu ya msingi)
 
Hi coverage ya Clouds FM haikuwa balanced kutoa picha halisi…Air time kubwa kapewa Makonda ili ajisafishe na Mpanju akimsadia

Hili liko wazi hata kwa mtu asie na elimu ya msingi (darasa la saba) kama ilivo ainishwa kwenye katiba inayopendekezwa

Kwanini Clouds hawakufanya initiative za kutafuta watu wengine waliokuwa kwenye mdahalo..ambao wako neutral..sio Wahariri wa habari tu ambao for some reasons watatoa maelezo kwa mlengo wa vyombo vyao vya habari?

Clouds FM nadhani ni chombo cha habari kisicho na credential za misingi ya habari za kumkomboa mwananchi….nadhani ni busara kwao kuendelea na habari za mambo rahisi rahisi tu kama kuandaa matamasha, Fiesta, habari za michezo na interviews za wasanii wa bongo flavor na Bongo movies...…kwenye issues sensitive zinazo husu nchi yetu waache watu wenye ueledi wa tasnia ya habari wafanye hiyo kazi ya kumkomboa Mtanzania..wao tutawasikiliza baada ya kazi kwenye sports extra tukiwa Bar na Tusker lite ya baridi!

Mimi nimemsikiliza Huyo Amon Mpanju..kwa maneno yake mwenyewe amesema hakuna mtu aliye mpiga tofauti na Makonda anavyodai alikuwa ana mlinda kwamba kuna watu walikuwa wana mpiga...

Mpanju mwenyewe kasema kuna vijana walimfuata kumwambia aachane na Makonda wao wamlinde yeye ndo akakataa..!

Makonda anamtumia Mpanju kudistract main agenda kwamba yeye na UVCCM wenzie ndo waliorganize hayo mabango na fujo zote zilizo tokea..hata kama yeye ukumbini hakupiga mtu lakin amehusika directly kuandaa huu uhuni wote.

Amoni Mpanju anaonekana ana akili lakini anataka kujitoa akili kutumika kutetea upuuzi wa CCM, amepoteza mantiki na kuanza kubishana na Warioba kuwa katiba pendekezwa haijasema elimu ya msingi ni darasa la saba..wakati hata kipengele cha elimu kama kigezo cha Mbunge kimetaja awe na darasa la saba (ambayo ndo elimu ya msingi)

Inaitwa redio ya wafu# Antivirus
 
Ni mambo ya kipuuzi sana anayoyafanya huyu kilaza!
Jamaa anaaibisha vijana wa kitanzania, anaongea utafikiri kasuku.
Tatizo anaongea uozo mtupu!!
Sasa anazunguka kwenye vyombo vya habari utafikiri a local prostitute.
 
makonda alipomtukana Mzee wangu lowasa tangu siku hiyo nilimuona sifuri.
na tangu kipindi hicho hata akipigwa japo ni mwana Ccm mwenzangu nitasaidia atandikwe vizuri
 
makonda alipomtukana Mzee wangu lowasa tangu siku hiyo nilimuona sifuri.
na tangu kipindi hicho hata akipigwa japo ni mwana Ccm mwenzangu nitasaidia atandikwe vizuri

Bora mkuu umeongea ukweli, umeachana na itakadi za kichama, huyu jamaa nimemsikiliza leo nimemuona ana meneno ya dharau sana.
 
Makonda yupo clouds radio
kuhojiwa leo asubuhi kutokana na upuuzi alioufanya kwa mzee wetu,
mtetezi wa taifa.

kuna Mzee hapa kasalimiana na kijana,kijana kajitambulisha kwa jina la Paul,mzee kidogo avunje miguu,katoka mbioooo huyooooo! chezea makonda we! huyu aliishajitoa nidhamu!
 
Back
Top Bottom