Paul Makonda live kupitia Clouds Radio

Paul Makonda live kupitia Clouds Radio

Kwenye PB Makonda haeleza umaskini wa vijana TZ hausababishwi na CCM bali uzembe na udhaifu wa vijana wenyewe.
 
Vijana kama wa Chadema wanakesha kwenye maandamano na mikutano na kunywa viroba tu lazima wawe masikini
 
Vijana kama wa Chadema wanakesha kwenye maandamano na mikutano na kunywa viroba tu lazima wawe masikini

Kwa sbb kichapo cha ugumu wa maisha kinachagua vijana wa CDM tu.. wa CCM wapo salama.

Nonsense!!
 
Tatizo letu ni kwamba ni mabingwa wa kulauma wakati tatizo lipo/ limekwishatokea au limetokea' badala tuache lawama tutoe mipango ya nini kifanyike na utekelezaji ufatiliwe tumekaa kulaumiana fulani hivi fulani vile. Hapo mwambie toa mipango na na saidia kusimamia utekelezaji wake na tutasaidiana financially na nguvu kazi' atakwambia nina mambo yangu mengi binafsi ya kufanya
 
Hana uwezo wala mamlaka ya kusema hayo mbele ya watu TIMAMU.
 
Vijana kama wa Chadema wanakesha kwenye maandamano na mikutano na kunywa viroba tu lazima wawe masikini

Ni kweli mkuu! Sisi vijana wa Chadema tunajitakia umaskini, badala tujiunge Ccm (ukoo wa panya )ili tufaidi matunda ya ufisadi (rushwa ).
 
Kwenye PB Makonda haeleza umaskini wa vijana TZ hausababishwi na CCM bali uzembe na udhaifu wa vijana wenyewe.

Duh kwahyo kazi anayoifanya Makonda hiyo ya kujipendekeza kwa wakubwa kumbe nao ni ujasiriamali!!!!!
 
Vijana kama wa Chadema wanakesha kwenye maandamano na mikutano na kunywa viroba tu lazima wawe masikini

Vijana maskini wengi ni wanachama wa CCM. Vijana wengi ni ombaomba kwa viongozi wa CCM kama wewe.
 
Alienda kwa ajili hiyo kuzunguzia vijana wanaojitakia umaskini au kilichompeleka nikungumzia tuhuma zinazomkabili? sijaelewa hapa.
 
siwezi kusikiliza radio hiyo hata kwa viboko
 
Huyo sio ndio alieiba simu kule Bungeni na IPad???? Kwa hio anataka na sisi tuwe wezi kama yeye? Lucifer mkubwa huyu
 
Clouds ccm!!
Hili li redio nalo ni la kugomea kama Tbc
 
Tatizo letu ni kwamba ni mabingwa wa kulauma wakati tatizo lipo/ limekwishatokea au limetokea' badala tuache lawama tutoe mipango ya nini kifanyike na utekelezaji ufatiliwe tumekaa kulaumiana fulani hivi fulani vile. Hapo mwambie toa mipango na na saidia kusimamia utekelezaji wake na tutasaidiana financially na nguvu kazi' atakwambia nina mambo yangu mengi binafsi ya kufanya

Mkuu hapo umenena!
 
Makonda:na bado, utateseka sana,mwaka huu na mzimu wa warioba kila ukilala ukiama mzimu huo kila ukilala ukiamu mzimu huo,
 
Kijana wa JONJILO/MALIGISU wanakutumia kama kondomu siku wakimaliza shida zao watakutupa jalalani.Wako wapi akina TAMBWE,MASUMBUKO LAMWAI.Nguvu ya Umma haizuiliki ipo siku mtakabiliana na mamilionni ya watu barabarani mtaua wangapi tukiwa safarini Magogoni.Waulizeni wenzenu wa BUKINA FASO.Mnazuia ELININO kwa vidole.Hamuwezi kutuua wote.Mikutano ya kuzungumzia hatima yetu hamtaki tunataka katiba bora yenye majibu mapana kwa matatizo yetu,angalia ufisadi fedha za ESCROW,MAMILIONI YA USWISS,BAADO KWENU JIJI LA MWANZA KABWE HAKAMATIKI KALA bBILIONI 40 huku sisi hapa Nyambiti tunakimbizana na mgambo kwa ajili ya elfu kumi.NGUVU YA UMMA HAIZUILIKI MAKONDA ebu rudi kijijini ndugu zako wanakuita achana na Warioba.
 
Kijana wa JONJILO/MALIGISU wanakutumia kama kondomu siku wakimaliza shida zao watakutupa jalalani.Wako wapi akina TAMBWE,MASUMBUKO LAMWAI.Nguvu ya Umma haizuiliki ipo siku mtakabiliana na mamilionni ya watu barabarani mtaua wangapi tukiwa safarini Magogoni.Waulizeni wenzenu wa BUKINA FASO.Mnazuia ELININO kwa vidole.Hamuwezi kutuua wote.Mikutano ya kuzungumzia hatima yetu hamtaki tunataka katiba bora yenye majibu mapana kwa matatizo yetu,angalia ufisadi fedha za ESCROW,MAMILIONI YA USWISS,BAADO KWENU JIJI LA MWANZA KABWE HAK
 
Hujui kuwa hiyo ni bidii ya Clouds kujaribu kumsafisha. Ungefuatilia uone hata aina ya maswali anayo ulizwa
 
Back
Top Bottom