Huyu kipofu amekela mulungula, amtete makonda
Makonda yupo clouds radio kuhojiwa leo asubuhi kutokana na upuuzi alioufanya kwa mzee wetu, mtetezi wa taifa
Clouds wanatumika vibaya.kwanini hawakumwalika Butiku ambaye aliwaona vizuri uvccm chini ya makonda wakianzisha vurugu?
[Nimezima Redio.
CLOUDS niliipenda sana. Inatuangusha watanzania. Inanunuliwa kwa gharama ya modi zetu. NATANGAZA VITA DHIDI YAO. sins nguvu ya kupigana kama Makonda, lakini ninayo nguvu ya kuwapuuza na KUTOWASIKILIZA TENA.