eliesikia
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 787
- 755
Mashabiki wa DAB mna tabu sana.. Mnateseka sanaHii kwanza sijaiamini pamoja na kuambiwa na watu zaid ya watatu ambao ni reputable lakin nimeona kwamba nisibeze lisemwalo lipo,
Kwamba mwaka 2020 Makonda anAkuwa rasmi Makamu w Rais, wakati Mama samia akipelekwa kugombea Urais Zanzibar,
Nikaendelea kujiuliza mbona makamu inabidi awe Mzanzibari? Sasa Makonda Nafasi hiyo anaingiaje?
Ngoja tusubiri muda utasema
Nami nimeambiwa nimeshindwa kuamini lakin nikaona bora nilete kwa wajuzi zaid hapa
Japo uhakika ni Samia kugombea zenji , ila ya makonda bado naitafakari