Tetesi: Paul Makonda kuwa Makamu wa Rais 2020/2025

Status
Not open for further replies.
Kwa samia kuwa mgombea zenji inawezekana ila kwa Makonda umebugi sana,

Yaan hii tetesi hata Magufuli atakuwa anaishangaa maana ataiona hapa JF haha, itamfanya ayaache mafaili yanayomzonga kitandani kwanza aitafakari
mgombea zenji inasemekana ni yule waziri ambaye ni mtoto wa raisi mstaafu ambaye siku hizi huenda ikulu kumsifia raisi
 
Hahahaha, daah siku ukiibiwa ule kuna watu wanaweza kufa.
HAHAHAHAHAHAHAAAAAAAAAAAAAA!! Yaani umenipa bonge la tv script idea! Wallah tena, hivi una habari kuibiwa kwa Mwenge wa Uhuru na kutojulikana ni wapi ulipo ni bonge la story kuliko BoT Robbery?!

Najua Bodi ya Filamu wanaweza kuleta fitina but still it's a worthy story to write!

Who stole the Uhuru Torch?

Where is it hidden?

Why did he (they) still it?

How did he (they) still it?

Who're the prime suspects?

Is it just a crime like any other crime or a sabotage?

Are there any other people and/or probably organisations behind the crime/sabotage?

Who're they and why are they involved?

Any possible international involvement?

When was it stolen? Jibu: Siku moja kabla ya kuwashwa na kuanza kukimbizwa

Was it a mere coincidence that it's stolen in the last minute before it's launched or the perpetrators have a reason?

Dah! Maswali yanayohitaji kujibika ni mengi mno kiasi kwamba, kuibiwa kwake hakupaswi kutengenezea movie bali full season series!!

And what if during the hunt, serikali ya Magu inaanza kushika uchawi watu na taasisi mbalimbali! First suspect, CHADEMA tu hao manake kila siku walikuwa wanaupinga Mwenge wa Uhuru! Mara oh, mataifa ya nje yanayotuonea kijicho umoja na mshikamano wetu ndio wamehusika! Mara kaiba huyu; mara wale kabla hatimae haijafahamika kumbe ni Mateja tu ndio waliiukwiba mwenge wetu ili eti wakauze kama chuma chakavu!!
 
HAHAHAHAHAHAHAAAAAAAAAAAAAA!! Yaani umenipa bonge la tv script idea! Wallah tena, hivi una habari kuibiwa kwa Mwenge wa Uhuru na kutojulikana ni wapi ulipo ni bonge la story kuliko BoT Robbery?!

Najua Bodi ya Filamu wanaweza kuleta fitina but still it's a worthy story to write!

Who stole the Uhuru Torch?

Where is it hidden?

Why did he (they) still it?

How did he (they) still it?

Who're the prime suspects?

Is it just a crime like any other crime or a sabotage?

Are there any other people and/or probably organisations behind the crime/sabotage?

Who're they and why are they involved?

Any possible international involvement?

When was it stolen? Jibu: Siku moja kabla ya kuwashwa na kuanza kukimbizwa

Was it a mere coincidence that it's stolen in the last minute before it's launched or the perpetrators have a reason?

Dah! Maswali yanayohitaji kujibika ni mengi mno kiasi kwamba, kuibiwa kwake hakupaswi kutengenezea movie bali full season series!!

And what if during the hunt, serikali ya Magu inaanza kushika uchawi watu na taasisi mbalimbali! First suspect, CHADEMA tu hao manake kila siku walikuwa wanaupinga Mwenge wa Uhuru! Mara oh, mataifa ya nje yanayotuonea kijicho umoja na mshikamano wetu ndio wamehusika! Mara kaiba huyu; mara wale kabla hatimae haijafahamika kumbe ni Mateja tu ndio waliiukwiba mwenge wetu ili eti wakauze kama chuma chakavu!!
Hahahahahaha,
Ifanyie kazi bwana Chige. Itakuwa bonge la kitu aiseee.
 
Hii kwanza sijaiamini pamoja na kuambiwa na watu zaid ya watatu ambao ni reputable lakin nimeona kwamba nisibeze lisemwalo lipo,

Kwamba mwaka 2020 Makonda anAkuwa rasmi Makamu w Rais, wakati Mama samia akipelekwa kugombea Urais Zanzibar,

Nikaendelea kujiuliza mbona makamu inabidi awe Mzanzibari? Sasa Makonda Nafasi hiyo anaingiaje?

Ngoja tusubiri muda utasema

Nami nimeambiwa nimeshindwa kuamini lakin nikaona bora nilete kwa wajuzi zaid hapa

Japo uhakika ni Samia kugombea zenji , ila ya makonda bado naitafakari
Labda makamu wa chama cha mchicha mwiba
tapatalk_1541403796596.jpg
 
Hii kwanza sijaiamini pamoja na kuambiwa na watu zaid ya watatu ambao ni reputable lakin nimeona kwamba nisibeze lisemwalo lipo,

Kwamba mwaka 2020 Makonda anAkuwa rasmi Makamu w Rais, wakati Mama samia akipelekwa kugombea Urais Zanzibar,

Nikaendelea kujiuliza mbona makamu inabidi awe Mzanzibari? Sasa Makonda Nafasi hiyo anaingiaje?

Ngoja tusubiri muda utasema

Nami nimeambiwa nimeshindwa kuamini lakin nikaona bora nilete kwa wajuzi zaid hapa

Japo uhakika ni Samia kugombea zenji , ila ya makonda bado naitafakari
Nahama nchi kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii kwanza sijaiamini pamoja na kuambiwa na watu zaid ya watatu ambao ni reputable lakin nimeona kwamba nisibeze lisemwalo lipo,

Kwamba mwaka 2020 Makonda anAkuwa rasmi Makamu w Rais, wakati Mama samia akipelekwa kugombea Urais Zanzibar,

Nikaendelea kujiuliza mbona makamu inabidi awe Mzanzibari? Sasa Makonda Nafasi hiyo anaingiaje?

Ngoja tusubiri muda utasema

Nami nimeambiwa nimeshindwa kuamini lakin nikaona bora nilete kwa wajuzi zaid hapa

Japo uhakika ni Samia kugombea zenji , ila ya makonda bado naitafakari
Kama sifa zote
Hii kwanza sijaiamini pamoja na kuambiwa na watu zaid ya watatu ambao ni reputable lakin nimeona kwamba nisibeze lisemwalo lipo,

Kwamba mwaka 2020 Makonda anAkuwa rasmi Makamu w Rais, wakati Mama samia akipelekwa kugombea Urais Zanzibar,

Nikaendelea kujiuliza mbona makamu inabidi awe Mzanzibari? Sasa Makonda Nafasi hiyo anaingiaje?

Ngoja tusubiri muda utasema

Nami nimeambiwa nimeshindwa kuamini lakin nikaona bora nilete kwa wajuzi zaid hapa

Japo uhakika ni Samia kugombea zenji , ila ya makonda bado naitafakari
Kwa upande wangu naona anastahili kuwa makamo wa raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania kama atapewa nafasi hiyo kwani tumeona jitihada zake katika nafasi aliyonayo ya mkuu wa mkoa wa dar es salaam kwa kusimamia shunguli zote muhimu ambazo zinapaswa kushungulikiwa.
 
Hii kwanza sijaiamini pamoja na kuambiwa na watu zaid ya watatu ambao ni reputable lakin nimeona kwamba nisibeze lisemwalo lipo,

Kwamba mwaka 2020 Makonda anAkuwa rasmi Makamu w Rais, wakati Mama samia akipelekwa kugombea Urais Zanzibar,

Nikaendelea kujiuliza mbona makamu inabidi awe Mzanzibari? Sasa Makonda Nafasi hiyo anaingiaje?

Ngoja tusubiri muda utasema

Nami nimeambiwa nimeshindwa kuamini lakin nikaona bora nilete kwa wajuzi zaid hapa

Japo uhakika ni Samia kugombea zenji , ila ya makonda bado naitafakari
Kwa mujibu wa katiba ya 1977 iliyofanyiwa marekebisho mara ya mwisho mwaka 2000 No. 47 ibara ya 3 niliyonayo inasema hivi "Mtu atateuliwa kugombea kiti cha Makamu wa Rais kwa kufuata kanuni kwamba endapo Rais wa Jamhuri ya Muungano atatoka sehemu moja ya Muungano, basi Makamu wa Rais atakuwa ni mtu anayetoka sehemu ya pili ya Muungano." Kwa hiyo hilo ni jambo ambalo haliwezekani achana nalo. Labda wabadili katiba ya sasa iliyopo hilo nalo pia ni gumu kutokana na ikidi iliyopo bungeni hawataweza kubadili chochote. Wasubiri tu kama watafanya uchafuzi wao wa 2020 ili wafanye watakavyo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom