Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,697
- 9,048
Vingine ukiambiwa uwe unapotezea tu maana havina Hata chembe ya uwezekano...
Guys kuna vitu huwa wanasema vina happen ONLY IN TANZANIA!
Makonda kuwa Makamu wa Rais inawezekana kabisa…! Kwa awamu hii tuna Makamu toka Visiwani hivo Awamu ijayo Makamu lazima atatoka Bara na very likely akawa huyo Bashite!