Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,139
- 2,998
Wanapima upepo. Muwakumbushe na ikulu ya US pia ipimwe upepo.
Kwahiyo Shilole kashindwa Kazi tukuka?View attachment 2683862
Kuna tetesi kwamba aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, kesho atatangazwa kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM.
Makonda ni mtu mwenye uwezo mkubwa wa kujibu hoja pengine kuliko Wabunge na Mawaziri wote wa CCM.
Ngoja tuone!
Huo uzee bado unapenda vigori?Kwani Katibu wa sasa ameshindwa ilhali hajakaa hata miezi minne tu jamani; mawimbi yamekuwa makubwa sana? Lakini Katibu mwenezi wa sasa ndiye ninayempenda. Sijui anafanya nini madarakani lakini nampenda sana.
Ng'ombe hazeeki maini!Huo uzee bado unapenda vigori?
Bado au keshatangazwa ?View attachment 2683862
Kuna tetesi kwamba aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, kesho atatangazwa kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM.
Makonda ni mtu mwenye uwezo mkubwa wa kujibu hoja pengine kuliko Wabunge na Mawaziri wote wa CCM.
Ngoja tuone!
Moderator tuondolee uchafu huu. Makonda alishakwisha na hafai hata kuongoza kundi la funza.View attachment 2683862
Kuna tetesi kwamba aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, kesho atatangazwa kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM.
Makonda ni mtu mwenye uwezo mkubwa wa kujibu hoja pengine kuliko Wabunge na Mawaziri wote wa CCM.
Ngoja tuone!
Nasubiri hili usisahauZamu yake ilishapita hatupaswi kurudi huko, akipewa nafasi hiyo nitarudisha kadi yangu mchana kweupe tena mbele ya vyombo vya habari!.
Kama kapewa basi ni mtego , subiriNasubiri hili usisahau
Ana ukaribu hata na WagangaIla ukaribu wa Makonda na Kaldinali Pengo ni exclusive aisee. Dogo anajua kukaa na wakubwa View attachment 2684525
Huyo wanachama wa CCM hatutaki hata kumuona CCM.
Kama mama anamtaka ampe kazi serikalini, kitengo maalum cha kudhibiti wasema hovyo.
Tunasubiri mkuu, lini hili tukio la kurudisha kadiZamu yake ilishapita hatupaswi kurudi huko, akipewa nafasi hiyo nitarudisha kadi yangu mchana kweupe tena mbele ya vyombo vya habari!.
Rudisha tu kadi ya chama wewe mi tone tu la maji katika bahariZamu yake ilishapita hatupaswi kurudi huko, akipewa nafasi hiyo nitarudisha kadi yangu mchana kweupe tena mbele ya vyombo vya habari!.
.......usiemtaka kaja sasa hama chama!!!Huyo wanachama wa CCM hatutaki hata kumuona CCM.
Kama mama anamtaka ampe kazi serikalini, kitengo maalum cha kudhibiti wasema hovyo.
DP World wamemuombea sihami.Kwahiyo utahama chama mkuu?
Mama ana timing za ajabu, kanizima kwa DP World........usiemtaka kaja sasa hama chama!!!
Zamu yake ilishapita hatupaswi kurudi huko, akipewa nafasi hiyo nitarudisha kadi yangu mchana kweupe tena mbele ya vyombo vya habari!.