IPECACUANHA
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 3,216
- 1,906
That is called deceit...you avoid the question and create stories.Sasa kajibu lipi?
That is called deceit...you avoid the question and create stories.Sasa kajibu lipi?
Hapana .... elimu ni muhim sana maishani kwake...huwezi fanya rational decisions bila elimu...mimi sijaona tatizo muacheni Makonda na Div 0 atawale Mkoa wa Dar
hamna ubavu wa kumkataa
Na wewe pia ni katika kundi hilo la wanaoitwa wajinga, wapumbavu, madume suruali?mkuu ndio maana mnaitwa wajinga!wapumbavu! madume suruali!
ushaambiwa hataki kutow, wewe na mende wenzako mnafanya nini? kama kitu huwezi kufanya chochote.
.kaa kimya
Sasa wakazi wa mkoa watakubali kutawaliwa na mbumbumbu?mimi sijaona tatizo muacheni Makonda na Div 0 atawale Mkoa wa Dar
hamna ubavu wa kumkataa
bashite.
Kwa hiyo NECTA wanauwezo wa ku backdate NAMBA za vyeti?Yupo kutengenezewa cheti na necta anasubiri vitoke ndo ajitokeze amini nisemalo
Ndo unajua hii ni tzKwa hiyo NECTA wanauwezo wa ku backdate NAMBA za vyeti?
Na wewe pia ni katika kundi hilo la wanaoitwa wajinga, wapumbavu, madume suruali?
Au wewe na nzi wenzako mmefanya nini?
Au wewe hutaki kuviona vyeti vya form 4 vya RC?
Kama ungeliwapa ushauri hao mende ,ungeliwashauri wafanye nini?
Kwa sababu uhakiki wa vyeti hewa bado ni muhimu kuendelea kufanyika bila kujali cheo cha mhusika.
Mimi bado naamini mende wanafanya kile wanachotakiwa kufanya, kumsaidia Rais kwa kuwaandika wale wanaotuhumiwa kumiliki vyeti hewa. Rais alipokutana na wahariri na wanahabari aliwaomba wamsaidie kufichua uovu. Je kumiliki vyeti hewa si uovu? Vyeti hewa ni nyara za siri-kali.
Hewa, hewa ,hewa na vyeti hewa.
Link Rais Magufuli: Siwezi kusikiliza madai ya malipo yoyote wakati kuna malipo hewa kila kona
Link2. Polisi wamkamata Gwajima tena. Afanyiwa upekuzi upya!