Decree Holder
JF-Expert Member
- Jul 19, 2015
- 2,559
- 3,747
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ameoneshwa kusikitishwa sana na kupotea kwa msanii Roma Mkatoliki na kuahidi kuwa atahakikisha anampata kabla ya Jumatatu.
Ameongea hayo kwa baadhi ya waandishi wa habari waliomfuata ofisini kwake na kutaka kujua kuhusu msimamo wake juu ya hili swala msikilize hapa chini.
Pia soma: Utata: Msanii Roma Mkatoliki na wenzake wakamatwa/tekwa nyara
Ameongea hayo kwa baadhi ya waandishi wa habari waliomfuata ofisini kwake na kutaka kujua kuhusu msimamo wake juu ya hili swala msikilize hapa chini.
Pia soma: Utata: Msanii Roma Mkatoliki na wenzake wakamatwa/tekwa nyara
