Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,654
Ile mahkama ya mafisadi sijui iliundiwa wakina nani.
Ushahidi upo wa kutosha ila Makonda bado anauza tu sura kwenye office na nyumba za umma. Hiki alichokifanya alitakiwa awe jela mpaka sasa.
Yani barua ya kutumbuliwa imkute yupo jela.
Hili sio kosa la kukwepa kulipa kodi. Ni kosa la matumizi mabaya ya office, na kujipatia mali kwa udanganyifu. Yan kwa ufupi ni Ufisadi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushahidi upo wa kutosha ila Makonda bado anauza tu sura kwenye office na nyumba za umma. Hiki alichokifanya alitakiwa awe jela mpaka sasa.
Yani barua ya kutumbuliwa imkute yupo jela.
Hili sio kosa la kukwepa kulipa kodi. Ni kosa la matumizi mabaya ya office, na kujipatia mali kwa udanganyifu. Yan kwa ufupi ni Ufisadi.
Sent using Jamii Forums mobile app