Washatupwa nje ya sahani ya ulaji. Mmepigwa na kitu kizito kichwani. Kila mnayejaribu kumtanguliza analiwa kichwa. Leteni mwingine tena.Hao sukuma gang kama huwalishi na manisha yanaenda hakuna tatizo! Endelea kuongelea upuuzi wenazko wanatengeneza maisha!
Usalama wa Taifa wamwangalie sana huyu jamaa anaweza kutuletea matatizo kama Taifa.Afadhali sasa bei ya wese itapungua
Kweli kabisa. Awekwe kizuizini.Usalama wa Taifa wamwangalie sana huyu jamaa anaweza kutuletea matatizo kama Taifa.
Mh Rais Samia tupia macho kwa huyu Bwana.
Na wewe jialike uende hata Ubalozi wa Burundi uone Kama utapita hata getini.Ana miss sana matukio, sasa anaokoteza na kulazimishia kujialika mwenyewe hata asipohitajika... pua pua pua
Anataka kukimbia nchi?
Kama public figurehahaha, ameenda km nani/kufanya nn? weka habari kamili basi