Moshe Dayan,
..umesahau Bin Laden alivyowatenda USA??
..kuna wengine wanabisha, lakini ukweli utabaki kwamba tulikosea kutoku-support ile mission ya SADC ya 1999.
..tungesimama upande wa Zimbabwe, Angola, na Namibia, wakati ule, hali isingekuwa mbaya kiasi hiki Congo.
..wacha JK na Zuma warekebishe makosa ya Mkapa na Mandela/Mbeki.
cc Ogah, Jasusi, Nguruvi3
de'levis, long time no see.., turudi kwenye mada, ntakuja na topic jinsi rwegyima alivyouawa na jinsi siku alipoenda front ilikuaje rpg zote za unit yake zili-miss fire, ndipo utajua kagame tulimuivisha kwenye espionage
Unakosa point, mbona huilaumu Tanzania kwa kumsaidia Museveni na Waganda kwa ujumla.Tanzania trained him to be a world class spy, why is he turning against his mentor!? if there are misunderstandings, why cant diplomacy take the first course?? It was 1978 in a secret espionage farm(somewhere in morogoro), paul kagame was recruited, trained and eventually served as our informer and a spy in different top secret missions. why is this killing machine malfunctioning now!? Baada ya kumaliza mafunzo, hata Marekani ilimtambua kwa uwezo wake wa infiltration na counter espionage skills, kiasi kwamba ilimpa nafasi asome command and general staff college huko Kansas. PK Akiwa na Yoweri Museveni, Obote, Okello, Oyite Ojock, Yusuf Lule, Fred Rwigyema na majasusi waliokubuhu wa Tanzania, walikutana kwa siri Kilimanjaro, mwaka 1979,in a secret meeting called THE MOSHI CONFERENCE na kuunda "KIKOSI MAALUM" kilichotangulia na baadhi ya majasusi ndani ya Uganda kuendeleza insurgency covert operations wakati majeshi ya TPDF yakisonga mbele. Hii timu ilikua pia na David Sejusa Tinyefunza, jasusi kuu la Uganda(SPY CHIEF) aliyepishana kauli na M7 na kuamua kukimbilia UK.Tanzania made them what and who they are now, powerful and intimidating.Timu hiyo ilifunzwa unprecedented guerrilla tactics kama tulizowafunza wenzetu wa kusini mwa Afrika na ndio maana PK akiwa bega kwa bega majasusi wenzetu na Fred Rwigyema ambaye aliuwawa kwenye battle waliweza kuingia hadi Kigali kwa kupitia Uganda Virunga Mountains baada ya kutumikia UPDF kama security chief wa M7.A "cold war" highly fueled by media should be stopped and let the old memories flourish.If we had same belief or ideology, why should we differ now..???
wanaakili sana.... dunia inabadilika.. "There are no permanent friends, only permanent interests"
why fight!?? its for our own economic survival to seek diplomacyRwanda tusiipige Kijeshi bali kwa kiuchumi
comrade, you are right, hizi sio zama za kupigana mavita ya kipuuzi, hata mrwanda mwenyewe hawezi ku-sustain vita economically for more than a yearjokaKuu,
As long as FDLR wataendelea kuwa na free hand eastern Congo itawawia vigumu kurekebisha makosa ya Mkapa na Mandela. Hivi kwa nini Zimbabwe haijachangamkia tenda hii this time? Nasikia ile vita ndiyo ilisaidia kudidimiza uchumi wake haraka. We are playing with fire.
.......tulishawapa ujumbe kuwa......at any cost.....ya kulinda utu wetu na Taifa letu..."HATUTAWAPUUZA"........
why fight!?? its for our own economic survival to seek diplomacy
I support you. I always believe the main cause of Congo's uneasiness and killings is my country Tanzania. Kagame na Museveni wamewekwa na serikali ya CCM. Tunacheza ngoma za wakuu wa magharibi. Pia uhusika wetu mwingine ni kupeleka silaha Congo kupitia Mwanza airport (Hubert Sauper's 2004 Darwin nightmare). Watu mmetuita wakimbizi kwa kutojua kwenu na uzalendo wa kijinga
baba yenu anawahadaa na kuwatumikisha pasipo kujua...tutawasaidia mjue kuwa mnatumikishwa...tabia yake tunataka ikome na ITAKOMA...angekuwa anachofanya ni halali ndani na nje ya rwanda sasa hivi asingekuwa anakimbia kimbia na kuhama hama hasa nyakati za usiku na halali sehemu moja...
au na wewe murutongore tukudunge ''truth serum'' kama mmoja wenu aliyekuwa anatumiwa na baba yenu na akamwaga kila kitu hali iliyopelekea baba yenu anaishi kama digi digi hasa nyakati za usiku mpaka sasa?
Dhu!!
Mbona tunashindwa kutengeneza akina Kagame wetyu wenyewe?? AU CCM wanawazidi akili??
Tungekuwa mbali sana!!
kagame's era are numbered tutsi of jf send this message to pk
jifunze kiingereza kwanza
. Hawa watu Walikua wanamheshimu nyerere tu.