Paul Kagame atakapoimarika zaidi Tanzania tutegemee Uchokozi

Pearce

JF-Expert Member
Dec 15, 2018
577
1,381
Huyu Mzee amekuwa kero katika kuhusika destabilizing Serikali za jirani zake.

Kama haitoshi ametuhumiwa kujaza mashushu wake Kila Kona, kinachomshinda kwasasa amepima moto anaona hawezi directly confrontation na Tanzania kama anavyofanya kwa Burundi na Congo.

Lakini ni suala la Muda tu. Wakati alipopishana kauli na Mzee Kikwete alitamka kwa jazba ata hit Tanzania katika specific time na ndio muda ikatokea kambi yetu iliopo Sudan Kusini ikashambuliwa.

Ina maana External kwenye asset zetu anajiamini ila Internal anazidi jiimalisha

Hakuna jirani yake ambae hajagombana nae kuanzia Burundi Uganda na Tanzania. Na tena katika ngazi ya kidiplomasi ameshakuwa na migogoro na baadhi ya nchi nyingi za Kiafrika

Nani yupo behind ya huyu jamaa mbona anajiamini sana
 
Huyu Mzee amekuwa kero katika kuhusika destabilizing Serikali za jirani zake.

Kama haitoshi ametuhumiwa kujaza mashushu wake Kila Kona, kinachomshinda kwasasa amepima moto anaona hawezi directly confrontation na Tanzania kama anavyofanya kwa Burundi na Congo.

Lakini ni suala la Muda tu. Wakati alipopishana kauli na Mzee Kikwete alitamka kwa jazba ata hit Tanzania katika specific time na ndio muda ikatokea kambi yetu iliopo Sudan Kusini ikashambuliwa.

Ina maana External kwenye asset zetu anajiamini ila Internal anazidi jiimalisha

Hakuna jirani yake ambae hajagombana nae kuanzia Burundi Uganda na Tanzania. Na tena katika ngazi ya kidiplomasi ameshakuwa na migogoro na baadhi ya nchi nyingi za Kiafrika

Nani yupo behind ya huyu jamaa mbona anajiamini sana
Agent mkuu wa CIA hapa East and Central Africa baada ya kifo au kibaraka wao Mobutu kuondolewa madarakan.
 
Mr slim mnampa promo ya bure natambua hata yeye mwenyewe anajua nchi za kuichezea na ipi moja tu hapa E.A sio ya kuichezea.

Hakuna nchi takataka yoyote hapa E.A ya kujaribu kucheza na TZ labda kama wanataka regime change kwa lazima.
 
20230316_003828.jpg
 
Huyu Mzee amekuwa kero katika kuhusika destabilizing Serikali za jirani zake.

Kama haitoshi ametuhumiwa kujaza mashushu wake Kila Kona, kinachomshinda kwasasa amepima moto anaona hawezi directly confrontation na Tanzania kama anavyofanya kwa Burundi na Congo.

Lakini ni suala la Muda tu. Wakati alipopishana kauli na Mzee Kikwete alitamka kwa jazba ata hit Tanzania katika specific time na ndio muda ikatokea kambi yetu iliopo Sudan Kusini ikashambuliwa.

Ina maana External kwenye asset zetu anajiamini ila Internal anazidi jiimalisha

Hakuna jirani yake ambae hajagombana nae kuanzia Burundi Uganda na Tanzania. Na tena katika ngazi ya kidiplomasi ameshakuwa na migogoro na baadhi ya nchi nyingi za Kiafrika

Nani yupo behind ya huyu jamaa mbona anajiamini sana

Unazungumzia mtu ambaye umri wake uliobaki hauzidi miaka 20 kwenye utawala ujue
 
Kajamaa mnakapaza sana kuliko uhalisia wa mambo ulivyo.

Haka ni kama ka panya road, kajizi ambacho kanategemea zaidi mambo ya kuvizia vizia tu.
ni kiongoz bora kwa afrika mashariki ila bado hana uwezo wa kuzichokoza Uganda , Tanzania na Kenya
 
Back
Top Bottom