mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
Mkuu weka source hapa ya Kagame akiilalamikia Tanzania.We jamaa lipumbavu sana hujui kwamba rafiki yake jiwe ambaye ni role model wake analalamika?Hapa nani anacreate migogoro?
Mkuu weka source hapa ya Kagame akiilalamikia Tanzania.We jamaa lipumbavu sana hujui kwamba rafiki yake jiwe ambaye ni role model wake analalamika?Hapa nani anacreate migogoro?
Kati ya vitu ambavyo hata wewe ukiambiwa kuvifanya hutathubutu ni kumpiga mshauri wako unayemtegemea kwa kila kitu. Yaani mtu aliyekushikia akili utaanzaje kumdhuru?Mimi nasema huyu fidodido apigwe tu hakuna jinsi nyingine maana tumechoka sasa na visa vyake.
Msicheze na moto nyie wabangua korosho!!!!! Hako kajamaa kana mziki mzitto.Duuhh mkuu mnakakuza haka kajamaa wakati hakana kitu ,
Na kulalamika kwake huku , kameanza kushikwa pabaya
Nikuambie tu hakana kitu
TZ IKO UCHI MBELE YA PAUL KAGAME (PAKA) TZ TUKIJARIBU TUNAPIGWA NDANIYA WIKI ATAKUWA ASHAMALIZA KAZI.Kenya ina vifaa lkn intelligency ni zero + discpline ya wanajeshi ni zero.Wanajeshi wa Kenya wanaingia kupigana na magaidi pale Westgate wanaanza kuiba chocolate humo humo kwny mall,wameenda tena kupigana somalia wakaanza kufanya biashara ya mkaa+mirungi,hakuna kitu pale.
Tanzania ndiye mbabe wa Kagame kwa EA sababu ya discpline ya wanajeshi+unity+intelligency+makadhalika kadhalika.
Zitakuwa pesa za kuhujumu madini ya DRC miaka nenda rudi na kama kaanza kuzitumia kujiimarisha kijeshi basi hatutamuweza ipo siku atashangaza dunia kwa kututanulia misuli kama USSR inavyomchachafya mmarekani. Na anajua umuhimu wa kuiba madini ya watu ambayo kwake hana ndio maana kamganda jiwe hadi mererani.Hahhahah Mleta Mada wa Lumumba Kwa Taarifa Yako Kagame Ameshanunua Mpaka S200 Juzi tu Hapo Na Amejaza ma-BM-21 kama Yote cheki Military Drill Aliyoifanya Juzi + hao wadudu inaosemekana Amewajaza Kitengo,Unaanzia wapi Kumgusa?? Ilihali Jeshi Letu linaBangua Korosho Mtwara Hebu Malizeni kwanza Suala la Dr.Bashiru vs Membe na STIGLAS GOJI ndio Muanze kumfikiria Kagame.
Donna Kantre.
Hakuna kitu kama hicho,kwani kwny ile drill kitu gani ambacho kimekushangaza mkuu?TZ IKO UCHI MBELE YA PAUL KAGAME (PAKA) TZ TUKIJARIBU TUNAPIGWA NDANIYA WIKI ATAKUWA ASHAMALIZA KAZI.
PAKA SIO WA MCHEZO MCHEZO.MILITARY DRIL ILE SO YA KAWAIDA !!
Wenzio wanatoa data kama vile silaha kalizonunua, kalivyomjibu m7 akawa mpole, kalivyomshika jiwe n.k sasa wewe tetea hoja yako kwenye vita hatuongei tu porojo kama unataka ushindi be realistic mkuu.Duuhh mkuu mnakakuza haka kajamaa wakati hakana kitu ,
Na kulalamika kwake huku , kameanza kushikwa pabaya
Nikuambie tu hakana kitu
Nani wa kumpiga, Nkurunziza?Mimi nasema huyu fidodido apigwe tu hakuna jinsi nyingine maana tumechoka sasa na visa vyake.
Hizi ndio hoja. Unatoa na data kabisa safi inamashiko hata kuikubali hoja kama hii.Huyu mtu ana zile helcopter za kisasa kabisa Blackhawk na makombora yake ya Hellfire,hizi helcopter ni bad news,kwa hapa africa labda misri tu watakuwa nazo,
halafu sijui kwanini kanunua air defence,kwa kuhofia nani atamshambulia kwa ndege ukichukulia burundi hana airforce kivile,au hata congo,
utakuta nchi anazopakana nazo zenye airforce ni Uganda,ambao wana Sukhoi na sisi,
jamaa ilibakia kidogo aikamate congo licha ya kuwa congo ni nchi kubwa mno,isingekuwa majeshi ya zimbabwe na zambia leo hii wacongo wangekuwa nchini huyu mtu
jamaa kawekeza silaha,nidham ya jeshi .kivita HAKUNA nchi ndogo.Hakuna kitu kama hicho,kwani kwny ile drill kitu gani ambacho kimekushangaza mkuu?
KUNUNUA WABUNGE KAACHA???Jiwe kanunua silaha mpya toka Russia hivi karibuni, tuko salama dhidi ya huyu nyau.
Nadhani hapo kwny Zambia ulimaanisha Angola boss.Huyu mtu ana zile helcopter za kisasa kabisa Blackhawk na makombora yake ya Hellfire,hizi helcopter ni bad news,kwa hapa africa labda misri tu watakuwa nazo,
halafu sijui kwanini kanunua air defence,kwa kuhofia nani atamshambulia kwa ndege ukichukulia burundi hana airforce kivile,au hata congo,
utakuta nchi anazopakana nazo zenye airforce ni Uganda,ambao wana Sukhoi na sisi,
jamaa ilibakia kidogo aikamate congo licha ya kuwa congo ni nchi kubwa mno,isingekuwa majeshi ya zimbabwe na zambia leo hii wacongo wangekuwa nchini huyu mtu
Watu hawaelewi waambie waangalie kanchi kama israel japo kapo nyuma ya mgongo wa wakubwa lakini kamejiimarisha pia.jamaa kawekeza silaha,nidham ya jeshi .kivita HAKUNA nchi ndogo.
TUKIJARIBU atatutoa jasho
Nani wa kumpiga, Nkurunziza?