Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 11,625
- 22,004
Hapa umeongea ukweli,kule kwingine unaongea pumba tupukwaiyo victory of RDF ni kuipiga uganda ndani ya congo na nini chanzo cha vita hiyo?
sasa kama slim kamshindwa nkurunzinza ambae yupo taabani atamuweza nan ukanda huu sasa?
kwa ukanda huu ni vigumu nchi yoyote kuisaidia rwanda endapo itapigana na burundi
chokochoko za rwanda dhidi ya burundi vitaibua vita ya ukabila na endapo itatokea hivyo rwanda ndie atakaepigwa vibaya haswaa
pk awe mpole tu walikuwepo wababe kama ottoman,mongolian,nazi.cheveck wa bulgaria lkn now wote wanadili na uchumi wao