Paul Kagame aliwahi kusema anataka kumpiga Kikwete

Paul Kagame aliwahi kusema anataka kumpiga Kikwete

Walikuwa na bifu za kibinafsi tena za kitoto

Kule Uganda mkutano wa viongozi wa jumuiya ya Afrika Mashariki viongozi wakuu wa nchi za Africa mashariki walipogundua kuwa wana bifu binafsi tena za kitoto Kikwete na Kagame waliamua kuwa waende chumba cha pembeni wawili tu pembeni na Ukumbi wakaongee wawili tu bila walinzi au yeyote waongee utoto wao na ujinga wao wa ugomvi wao wa kibinafsi usiohusu wala mambo ya kisiasa wala nchi zao .Sababu wote walikuwa na vitu vya kitoto vya kibinafsi kati yao tena vya aibu

Walitoka wakasema wameyamaliza hadi Kagame alikuja kutembelea Tanzania waliyamaliza

Bifu lao wala halikuhusu nchi ni mambo yao binafsi tena ya aibu hata kuongea ambayo wao kama viongozi wakuu hawakustahili kuwa na bifu la kipuuzi kama lile hadi ionekane kama nchi zina mgogoro
Shame on both them Kikwete na Kagame
Unataka kutudanganya Mkuu Kagame alikasirika Kikwete kupeleka jeshi lenye nguvu na kuisambaratisha M23 inayofadhiliwa na Kagame hapo bifu la kitoto ni lipi?baada ya Tanzania kuwa mstari wa mbele huko DRC Kagame alikasirika sana na kutoa maneno ya dharau kuhusu Tanzania...Kikwete ni mwanajeshi na Kagame ni Mwanajeshi ukiona bifu zao hakuna utoto hapo..
 
Back
Top Bottom