Amani Nyekele
Senior Member
- Jul 8, 2011
- 159
- 26
hii michadema haiishiwi vitimbi
Mkuu bold una maana sheila jina au??????????Shelia Inasemaje Hapo? Wanashelia Tafadhali Tunaomba Kujulishwa
Watahakikishaje sasa? Wakati huyo Katambi kajiteka mwenyewe?
mpaka mnatekwa Redbrigade walikuwa wapi ?Wakuu,
Ni kweli tukio limetokea mapema leo hii, lakini "wavamizi" hao wameondoka na copy. Na si original form.
Mpaka sasa napoandika, saa7 mchana. Tupo hapa ofisi za mkurugezi Jimbo la Shinyanga mjini. Tunarudisha fomu na zimepokelewa.
Bao la mkono,jimbo la Shinyanga Mjini, limekwama. Tumejipanga sawasawa.
Mapambano yanaendelea...
Kwa hiyo hao wavamizi wamemchagua copy na kuacha original, na hiyo copy alikuwa anapeleka wapi?Wakuu,
Ni kweli tukio limetokea mapema leo hii, lakini "wavamizi" hao wameondoka na copy. Na si original form.
Mpaka sasa napoandika, saa7 mchana. Tupo hapa ofisi za mkurugezi Jimbo la Shinyanga mjini. Tunarudisha fomu na zimepokelewa.
Bao la mkono,jimbo la Shinyanga Mjini, limekwama. Tumejipanga sawasawa.
Mapambano yanaendelea...
mama yangu ! yaani ndio ilivyokuwa ?masele alishinda kwa kura moja halafu mpinzani wake alifariki wakati kesi ya kupinga uchaguzi wake ikiendelea .
Refa ni nani!na mbona hatoi kadi!Dah sasa hizi rafu hizi
Duh hii hatari ila naogopa isje kuwa kama yule mgombea wa serikali za Mitaa Mlalo Lushoto mwaka jana aliyenunuliwa na kujifanya ametekwa hadi muda wa kuridisha form ukapita. MANI sipo online kule kwenye group. Hizi taarifa zina ukweli kiasi gani?