NOTE kudadeki ndo maana jama anampaisha sana kumbe wamepigiana machapuo toka kitamboni kitendo cha kushangaza pale magufuli akibishana na rais kuhusu chief mpya wa Tanroads na magufuli ameweka sharti kwa rais kikwete bila ya MFUGALE yeye anajiuzulu kazi
NOTE kudadeki ndo maana jama anampaisha sana kumbe wamepigiana machapuo toka kitambo
sasa hivi kapewa kivuko cha TazaraTaarifa tulizopata punde ni kuwa Bwana. Patrick Mfugale aliyekuwa Acting Chief Executive wa TANROADS ameteuliwa kuwa Mkurugenzi mpya wa TANROADS.
Habari zaidi baadae
Hayo ni majungu! Ninavyofahamu ni kuwa huyu jamaa siyo mpigaji deal kabisa.NOTE kudadeki ndo maana jama anampaisha sana kumbe wamepigiana machapuo toka kitambo
Jamani naomba kujua huyo MUJUNGI alijiua kwa sababu ganiMagufuli alipokuwa Ujenzi wakati ule wa Rais Mkapa..........alikuwa na watu wake muhimu sana.............na wote ni "vichwa".......wa kwanza kwenye list alikuwa Mar Eng. Mujungi (huyu alijiua)........wa pili ni huyu Mfugale..........Mujungi angekuwa hai............by "default" hii ingekuwa nafasi yake..............
Notwithstanding uchaguzi/uteuzi huu wa Mh Magufuli....Mfugale ni qualified for the position na ni mchapakazi..........hongera Eng. Mfugale........
😂😂😂ni kitendo cha kushangaza pale magufuli akibishana na rais kuhusu chief mpya wa Tanroads na magufuli ameweka sharti kwa rais kikwete bila ya MFUGALE yeye anajiuzulu kazi