Mwanamwana
Platinum Member
- Aug 1, 2011
- 9,602
- 22,706
Ila,huyo mzee "Salasa" si mtu.Kwa walichomtenda "Mama Tanzania",Mola anamuona.Chadema kiwe Malini na hii hama hama.
Kina selasini Hawa walihamoa mcvr kilochompata mbatia ni historia
Hamahama!Aliyekuwa Kada wa CHAUMMA, Patrick Assenga ametangaza kukihama chama hicho na kurejea Chama CHADEMA ambacho kimsingi ni chama alichokitumikia kwa miaka mingi kabla ya kuhama hapo
Akizungumza na Waandishi wa Habari leo, Jumanne Mei 26.2026, Assenga amesema maamuzi ya kurejea CHADEMA yamekuja baada ya tafakuri ya kina ambayo ameifanya na kujiridhisha pasipo na shaka kwamba CHAUMMA haina mwelekeo na dhamira ya kweli ya kuiondoa CCM madarakani, badala yake amebaini kuwa CHADEMA ndio chama pekee cha siasa chenye dhamira ya kweli kwa Watanzania na kinachoweza kuiondoa CCM madarakani na kushika Dola
Kupitia mkutano huo na Wanahabari, Assenga amewaomba radhi viongozi wa ngazi mbalimbali wa CHADEMA, wanachama na Watanzania kwa ujumla wake kwa maamuzi aliyokuwa ameyachukua hapo awali ya kukihama chama hicho, akiamini kwamba maamuzi hayo aliyafanya bila kutafakari kwa kina.
Pia soma
Patrick Assenga avuliwa Uanachama CHADEMA
Ama kweli majuto ni mjukuu. Press ya leo ya Bony yai imewavua nguo G-55. Soma alichoandika Assenga.
Ndugu yangu Bony ulikuwa wapi siku zote kuniambia haya? Unaona sasa NDUGU yako napigwa kama mpira wa Kona? SEGEREA hakukaliki, ROMBO ndio kabisa…hii habari za hii CHAUMMA zishakuwa ngumu kueleweka?
Naendelea kutafakari hatima yangu kisiasa, Mungu nijaze UJASIRI.
- Heparin
- boniface jacob patrick assenga
- Replies: 52
- Forum: Jukwaa la Siasa
siasa taaluma ya kisayansi sana ndugu zangu,Aliyekuwa Kada wa CHAUMMA, Patrick Assenga ametangaza kukihama chama hicho na kurejea Chama CHADEMA ambacho kimsingi ni chama alichokitumikia kwa miaka mingi kabla ya kuhama hapo
Akizungumza na Waandishi wa Habari leo, Jumanne Mei 26.2026, Assenga amesema maamuzi ya kurejea CHADEMA yamekuja baada ya tafakuri ya kina ambayo ameifanya na kujiridhisha pasipo na shaka kwamba CHAUMMA haina mwelekeo na dhamira ya kweli ya kuiondoa CCM madarakani, badala yake amebaini kuwa CHADEMA ndio chama pekee cha siasa chenye dhamira ya kweli kwa Watanzania na kinachoweza kuiondoa CCM madarakani na kushika Dola
Kupitia mkutano huo na Wanahabari, Assenga amewaomba radhi viongozi wa ngazi mbalimbali wa CHADEMA, wanachama na Watanzania kwa ujumla wake kwa maamuzi aliyokuwa ameyachukua hapo awali ya kukihama chama hicho, akiamini kwamba maamuzi hayo aliyafanya bila kutafakari kwa kina.
Pia soma
Patrick Assenga avuliwa Uanachama CHADEMA
Ama kweli majuto ni mjukuu. Press ya leo ya Bony yai imewavua nguo G-55. Soma alichoandika Assenga.
Ndugu yangu Bony ulikuwa wapi siku zote kuniambia haya? Unaona sasa NDUGU yako napigwa kama mpira wa Kona? SEGEREA hakukaliki, ROMBO ndio kabisa…hii habari za hii CHAUMMA zishakuwa ngumu kueleweka?
Naendelea kutafakari hatima yangu kisiasa, Mungu nijaze UJASIRI.
- Heparin
- boniface jacob patrick assenga
- Replies: 52
- Forum: Jukwaa la Siasa
nani mwenye ubavu wa kumkataa pale chadema kwa mfano kamanda?Kwa hali ya sasa na kwa namna ya Wasaliti wanavyopiga Magoti kwa CHADEMA kuna haja ya kuanzisha kitengo maalum cha dharula cha usaili wa Wasaliti
Ningeomba pia niwe miongoni mwa Wajumbe wa Kamati hiyo
Lakini,Wassira aka Tyson anajua kilishakufa.Tuwe wakweli, Tanzania chama cha upinzani ni kimoja tu, CHADEMA.
Ivi huko chadema kuna nini hasa au ndo yale tujenge chama kwanzaAliyekuwa Kada wa CHAUMMA, Patrick Assenga ametangaza kukihama chama hicho na kurejea Chama CHADEMA ambacho kimsingi ni chama alichokitumikia kwa miaka mingi kabla ya kuhama hapo
Akizungumza na Waandishi wa Habari leo, Jumanne Mei 26.2026, Assenga amesema maamuzi ya kurejea CHADEMA yamekuja baada ya tafakuri ya kina ambayo ameifanya na kujiridhisha pasipo na shaka kwamba CHAUMMA haina mwelekeo na dhamira ya kweli ya kuiondoa CCM madarakani, badala yake amebaini kuwa CHADEMA ndio chama pekee cha siasa chenye dhamira ya kweli kwa Watanzania na kinachoweza kuiondoa CCM madarakani na kushika Dola
Kupitia mkutano huo na Wanahabari, Assenga amewaomba radhi viongozi wa ngazi mbalimbali wa CHADEMA, wanachama na Watanzania kwa ujumla wake kwa maamuzi aliyokuwa ameyachukua hapo awali ya kukihama chama hicho, akiamini kwamba maamuzi hayo aliyafanya bila kutafakari kwa kina.
Pia soma
Patrick Assenga avuliwa Uanachama CHADEMA
- Patrick Assenga ajutia kuondoka CHADEMA, amlaumu Boniface Jacob kwa kutokusema ukweli mapema. Amuomba Mungu ampe ujasiri
Chadema kwa Sasa ndiyo target ya Dola hii haramu chini ya Samia.Ila,huyo mzee "Salasa" si mtu.Kwa walichomtenda "Mama Tanzania",Mola anamuona.
Wasira ana tatizo la afya ya akili yule.Lakini,Wassira aka Tyson anajua kilishakufa.
Wawapokee ila wasiwape uongozi wala kujua ya ndani ya chama.Chadema kwa Sasa ndiyo target ya Dola hii haramu chini ya Samia.
Baada ya kushindwa kukifuta.
Kunaweza kuja kitu kwingine
Cc. Jasusi tv
Unaweza sema wasipewe ya ndani lakini wakayapata kupitia kwa walio ndani .Hawa watu walikuwa wote wakifanya siasa muda mrefu.Wawapokee ila wasiwape uongozi wala kujua ya ndani ya chama.