Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 7,005
Toba!!!!! Hawaumwi migongo kwa hiyo mizigo?
hahahaaa... farkhina hilo swali hilo uliza na wenye vitambi aisee
Last edited by a moderator:
Toba!!!!! Hawaumwi migongo kwa hiyo mizigo?
Jamani mzigo wote huo mmhh...maana mpaka ufike panapotakiwa kasheshe!!!
unapenda wa hivyo!!!!!!!!!!1
Toba!!!!! Hawaumwi migongo kwa hiyo mizigo?
Lady doctor we unalo kama hilo?kuna style yake yakuufikisha mzigo ikulu atii
Lady doctor we unalo kama hilo?
Kwani ni wewe huyo kwenye avatar?kaah, mimi49 kwani we macho huna? Lol!!!!! mwenzangu huyo amenizidi unene kidogo atii...
aaah sipendagi wa hivo..wembamba ndo nzuri
aaah sipendagi wa hivo..wembamba ndo nzuri