kama mtu anataka mpesa pekee unaweza integrate?Kama kuna mtu binafsi au kampuni.inataka kuuza vitu online....... Nauwezo wa kumtengenezea website ya biashara(E-Commerce) na malipo ya products zake yakawa ni kwa njia M-pesa...... Karibuni.....
gharama zikojeyah.... Ninaweza... Ila hapo itategemea ulitumia language ipi... Au platform ipi...
Yah.... Ninaweza... Ila hapo itategemea ulitumia language ipi... Au platform ipi...
Ni kweli mkuu atleast demo.If you have any demo that we can see will be much appreciated, hasa mpesa integration
daaaaaaaaaaahHuyu jamaa usikute anatumia system zile zile za kina kopokopo. Ila tu anataka kula pesa kwa kuicreate web + kuunga na system ya MPesa online payment ambayo tayari ipo na inafanya kazi. Wale jamaa api wameibana @c6
If you have any demo that we can see will be much appreciated, hasa mpesa integration
Demo nitaiweka hewani na nitawapa link hapa...
i hope your next comment post will have a link to the Demo ili tuache kudoubt, kuna wahuni wengi mjini kutuambia wanafanya hivi ukiwapa kazi wafanye wanaanza porojo, tudhihirihishie wewe sio mmoja wa hao wahuni, usijibu comment hii na porojo jibu na demo link.Wabongo bwana.... Ww leta kazi... Nikutengenezee kama ebay au amazon... Ila malipo yatakuwa kwa mpesa badala ya pay pal..... Sio kuanza kudought wakati hata ujajua uwezo wangu....
Teh teh teh... your very curious mkuu...i hope your next comment post will have a link to the Demo ili tuache kudoubt, kuna wahuni wengi mjini kutuambia wanafanya hivi ukiwapa kazi wafanye wanaanza porojo, tudhihirihishie wewe sio mmoja wa hao wahuni, usijibu comment hii na porojo jibu na demo link.
Wabongo bwana.... Ww leta kazi... Nikutengenezee kama ebay au amazon... Ila malipo yatakuwa kwa mpesa badala ya pay pal..... Sio kuanza kudought wakati hata ujajua uwezo wangu....