Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,063
- 11,109
- Thread starter
- #81
88.000
Naagizaje
Ok nakuja huku in two weeks time nitawapataje?Kama uko nje ya Zanzibar utachangia usafiri kidogo.
Ila kama uko mikoa ya mbali sikushauri kuagiza bidhaa moja ya bei rahisi mana itaku-cost usafiri na mda(labda kama kuna mtu anasafiri kuja uliko),ambapo ukipiga mahesabu unaweza pata uliko kwa bei isiyotofautiana sana na huku.
0715270707Ok nakuja huku in two weeks time nitawapataje?