Pata picha ingekuwa ni hapa hapa Bongo!!

Pata picha ingekuwa ni hapa hapa Bongo!!

kivyako

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2012
Posts
14,342
Reaction score
12,065
cb1e1d616ab6e085dbd47119c666f1ce.jpg
 
Ah nahsi wewe,family,2nd&3rd generations wote mngeondoshwa(wiped)katika uso wa dunia ili kufuta kumbukumbu ya kuwa malaika aliwah tukanwa!
 
kinachowasumbua viongozi wa africa ni ushamba. mara nyingi tumekuwa tukichagua watu watuongoze ambao hawana hata uwezo kuongea kiingereza au lugha ya kimataifa na wao wanasema wamesoma. ulaya wanakuogopa, ushamba tu.
. Ole wako wakusikie
 
We!we!!kwanza tungeanzia wapi?Haukuona tulivyotishwa na maandamano ya polisisiem wakiwa na magari ya deraya kabla hata ya siku ya kutangazwa mshindi?Ikasababisha hata siku ya kuapishwa TAIFA zima limenuna.
 
Back
Top Bottom