YAANI ... Kichwa vcha habari na habari yenyewe tofauti......... MI nilidhani unatupa hiyo teknohama ya kufanya hilo jambo...... KUMBE WEWE UNATAKA TUKUPENina uhakika teknohama imekuwa mno. Sasa hivi kuna watu ni mahodari ktk fani hii.
Mimi kuna mtu natafuta namba yake ya simu. Jina lake nalifahamu. Je inawezekana kuipata namba yake bila yeye kujua.
nipe namba yako ya voda nikwambie jina lako ndani ya dakika moja na robo.Nipe jina....nitakusaidia.
Ni kweli kabisa kuna kosa la kiufundi katika uandishi wa kichwa cha habari, ni vigumu kujua kama anauliza.YAANI ... Kichwa vcha habari na habari yenyewe tofauti......... MI nilidhani unatupa hiyo teknohama ya kufanya hilo jambo...... KUMBE WEWE UNATAKA TUKUPE
YAANI ... Kichwa vcha habari na habari yenyewe tofauti......... MI nilidhani unatupa hiyo teknohama ya kufanya hilo jambo...... KUMBE WEWE UNATAKA TUKUPE
nipe namba yako ya voda nikwambie jina lako ndani ya dakika moja na robo.
nipe namba yako ya voda nikwambie jina lako ndani ya dakika moja na robo.
Ni kweli heading is very misleadingYAANI ... Kichwa vcha habari na habari yenyewe tofauti......... MI nilidhani unatupa hiyo teknohama ya kufanya hilo jambo...... KUMBE WEWE UNATAKA TUKUPE