mustapha hashimu
Senior Member
- Jan 25, 2017
- 145
- 28
Lugha Kali ila ndio uhalisia wa mamboUmetumia lugha kali sana mkuu
Lugha Kali ila ndio uhalisia wa mamboUmetumia lugha kali sana mkuu
Successful people build each other.They motivate, inspire and push each other. Unsuccessful people just hate, blame and complain...Mkuu mtungi wa mihani na gesi na ile burner na grill ya kubandikia sufuria mpya ni bei gani?hawezi kuuza elfu 55 afu ukajaze gesi elfu 20 ni ulaghai!awauzie watu ambao wamekuja jana kutoka dodoma,singida,mwanza,chato,tabora yaani kanda hizo za huko mpaka kahama!
Basi uza mkuu,hatupendagi ukweli tumezowea uwongo unaotufurahisha,mtungi mpya wa mihani na kila kitu ni 65,au hutaki?sasa wewe unauza mtungi ambao haujajaa gesi 55 akijaza mtu 20 si ni 75?huo ni wizi au hadaa au kudhulumu atakayenunua.godoro toa shuka ulipige picha tulithaminishe,hyo feni mpya ni bei gani dukani?wewe umenunua vitu vipya kwa bei kama hyo unayouza na umevitumia!Successful people build each other.They motivate, inspire and push each other. Unsuccessful people just hate, blame and complain...
Feni mpya ya stendi jama hio ni elfu 35 dukani. Sasa utauzaje used kwa bei ya mpya bro?bei ya kawaida mkuu
Eti feni afadhalIla kasema ukweli mtungi kwa elfu55 hapana!
Godoro limeshaisha
Feni afadhali inauzika
Duh,mhurumie mwenzioMtungi na gesi yake mihan 65,sasa ukiuza 55 mtu akijaza gesi elfu 20 ni elfu 75,wauzie watu wa mikoani waliokuja leo kesho wanaondoka,mtungi huo elfu 30 sawa,maana mkubwa unaupata mtupu elfu 45 ule wa kilo 15!Godoro chafu sana hilo elfu 15,feni elfu 20!
Duuh, kwamba wanaotoka huko wote IQ zao ndogo sana unawazidi.Mkuu mtungi wa mihani na gesi na ile burner na grill ya kubandikia sufuria mpya ni bei gani?hawezi kuuza elfu 55 afu ukajaze gesi elfu 20 ni ulaghai!awauzie watu ambao wamekuja jana kutoka dodoma,singida,mwanza,chato,tabora yaani kanda hizo za huko mpaka kahama!
Kitanda huna?
Hahahaahhahaah daah!Vyote kula 50 yanauli eewe mwanachuo